Wakale wapi? Ila wambulu nao ni mizigo haswaDuhyaani milioni 360 kwa ajili ya siku moja tu
Si wamsimike kimya kimya tu bila mbwebwe
Tafadhali ndugu..rudia kusoma kilichoandikwa. Kikao kilikuwa cha halimashauri ya walei,maparoko na Askofu...hakuna mahal pameandikwa waumini ndo wanapitisha
Mambo ya barazani ni barazani lakini mambo ya ndani yanapaswa kuwa ya ndani tuu.Katika hali mbaya tulinayo ya kiuchumi,kuna Maaskofu ambao wanatumia vibaya pesa za waumini na kuongeza mzigo wa michango. Askofu Amani wa jimbo katoliki la Moshi ambae ni msimamizi wa kitume katika jimbo katoliki la Mbulu amegonga mwamba na kupingwa vikali na halimashauri ya walei na maparoko alipokuwa akitafuta ridhaa ya kupitisha michango ya sherehe za kumsimika Askofu mpya wa Mbulu. Matumizi ya sherehe iyo ambayo ni million 360 yalipingwa vikali kwani ni makubwa mno na hayana ufafanuzi unaoeleweka.
Watu wengi walihoji kuhusu matumizi hayo katika kikao cha Halimashauri ya walei,maparoko na Askofu ambapo Askofu Amani alishindwa kutoa majibu yanayoeleweka.
Mwisho akasema tutatumia utaratibu wa bungeni wa ndio na hapana katika kupitisha hii michango,alipouliza mnapitisha hii michango wote waliitikia kwa kusema HATUTAKI..majibu hayo hajawahi kutokea katika historia ya jimbo la Mbulu.
Ifahamike kuwa kuna gari ambalo lipo bandarini limenunuliwa kisirisiri kwa ajili ya jimbo pasipo kuwashirikisha waumini wakati huo kuna magari yakutosha kwa ajili ya jimbo. Hayo ni matumizi mabovu ya pesa za waumini. Waumini wamechoka kuburuzwa na viongozi wasiojali maslahi ya jimbo .
Wizi mtupu, pesa nyingi sana na wakati hata miliioni 2 zingetosha kabisa.
Chakula cha mchana kwa wageni ambao hawazidi 502Mil za kununulia sakrament au divai?
Kinyaiya amestaafu au amehishwa?Katika hali mbaya tulinayo ya kiuchumi,kuna Maaskofu ambao wanatumia vibaya pesa za waumini na kuongeza mzigo wa michango. Askofu Amani wa jimbo katoliki la Moshi ambae ni msimamizi wa kitume katika jimbo katoliki la Mbulu amegonga mwamba na kupingwa vikali na halimashauri ya walei na maparoko alipokuwa akitafuta ridhaa ya kupitisha michango ya sherehe za kumsimika Askofu mpya wa Mbulu. Matumizi ya sherehe iyo ambayo ni million 360 yalipingwa vikali kwani ni makubwa mno na hayana ufafanuzi unaoeleweka.
Watu wengi walihoji kuhusu matumizi hayo katika kikao cha Halimashauri ya walei,maparoko na Askofu ambapo Askofu Amani alishindwa kutoa majibu yanayoeleweka.
Mwisho akasema tutatumia utaratibu wa bungeni wa ndio na hapana katika kupitisha hii michango,alipouliza mnapitisha hii michango wote waliitikia kwa kusema HATUTAKI..majibu hayo hajawahi kutokea katika historia ya jimbo la Mbulu.
Ifahamike kuwa kuna gari ambalo lipo bandarini limenunuliwa kisirisiri kwa ajili ya jimbo pasipo kuwashirikisha waumini wakati huo kuna magari yakutosha kwa ajili ya jimbo. Hayo ni matumizi mabovu ya pesa za waumini. Waumini wamechoka kuburuzwa na viongozi wasiojali maslahi ya jimbo .
Baada ya kukataa, waliamua wampige kabisa au!Hata kama zipo, si sababu ya watumizi mabovu
Mkuu nimeshastaafu huku sina issue tena
Hahahahaa..Suala Cyo Hela Ni Hatutaki Askofu Toka Moshi,tumechoka Kuongozwa Na Maskofu Toka Moshi Ni Wapiga Dili,jimbo Tangia Askofu Hhando Afariki Limerudi Sna Nyuma Kimaendeleo,tunahitaji Askofu Mzawa Na C Vingenevyo Na Ikiwa Vingnevyo Tutaitisho Mgomo Baridi Au Ikibidi Tutaandamana Kumpinga,,,,