Dhambi ni Dhambi, haijalishi wangapi wameitenda na ina faida gani kwa taifa. Hata kama uzinzi, ufisadi , ushoga, mention it una faida kiasi gani, utabaki kua dhambi na ni chukizo mbele ya Mungu.
Kama wewe ni mcha Mungu Heri ufe maskini uende mbinguni, lakini ufe tajiri uende motoni!, otherwise kama wewe sio mcha Mungu u have no problem,