kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Askofu wa K.K.K.T Dr.martin shao amesikika akiishukuru na kuisifia kampuni ya bia ya serengeti kwa mchango wake wa ujenzi wa kliniki ya macho hospitali ya K.C.M.C,askofu huyu alinukuu vifungu vya biblia na kuonyesha umuhimu wa kutoa fungu la kumi kama walivyofanya serengeti brewries.
Je kimaandiko ni sahihi kwa askofu kuisifu kampuni ya kilevi?
Source:TBC news
Je kimaandiko ni sahihi kwa askofu kuisifu kampuni ya kilevi?
Source:TBC news