Biblia inasema Divai haikusema juisi. Divai inaeleweka, inakuwa na kiasi fulani ya kilevi. Acheni kujifanya hamjui. Sijui unaposema Wayahudi hawanywi pombe una maana gani? Wapi panapolimwa mizabibu? Kazi yake nini? Tutafautishe kulewa na kunywa, ni vitu viwili tofauti. Hata ukinywa soda ukizidisha unalewa na unaweza kupotesha maisha pia. Kuna mwanamke mwaka jana pia amekufa kwa kunywa maji mengi kila siku ili kupunguza mwili. Too much of Anything is Harmful!!
Ndungu yangu, dont confuse translations. Wakati Biblia inatafsiriwa kutoka kiingereza kwenda kiswahili, neno 'JUICE' lilikua halitumiki kwa kiswahili cha wakati huo. Hivi babu yako alieishi mwaka 1900 akifufuka ukimwambia neno juice atakuulewa? Nimesha sema, kwa hebrews na Greek, kuna maneno zaidi la mmoja, lakini yote tafsiri yake kwa kiingereza ni 'wine'. Wewe kama Msomi wawakti huu, lazima utumie akili kuelewa 'wine' ipi inayaotajwa kwa kutokana na fungu.? Read the Bible in context, neno la Mungu halipingani, wewe ndo unajichangaya.
Otherwise nikikwambia pia kwamba Yesu Hakuzaliwa katika zizi la ngombe, unatabishia!