HabariLeo wameandika habari ya uongo
Nimesoma habari yenye kichwa cha habari habo juu, kwa bahati nzuri mimi nafahamu vizuri huo mvutano ninasikitika sana kwamba gazeti kubwa kama habari leo limeshindwa kupata ukweli na kuamua kuchapisha shutuma za uzushi.
Katika Story gazeti linasema limeongea na elisha (mlalamikaji) na Mchungaji (mlalamikiwa), Je gazeti limeongea na mke wa elisha kusikia anasemaje?
Elisha alimuacha mke wake kwa utashi wake mwenyewe, na mkewe ameteseka sana, na amekuwa akisaidiwa na waumini pamoja na ndugu zake wengine, (hata mke wangu mtarajiwa amemsadia), sasa hizo habari za mchungaji kumpangia chumba zinatoka wapi?
Huyu mtu anaishi mbagala na wala sio mkoani, gazeti limeshindwa kumtafuta, kumtembelea kwake kuona anaishi vipi na kumfanyia mahojiano?
MIMI SIO MSHIRIKA WA TAG lakini naifahamu vizuri hiyo story na ni UONGO mtupu! nilitegemea gazeti muweze kufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuchapisha hizi shutuma, ingawa katika story yenu mnasema ni shutuma lakini kwa sababu hazina ukweli ndani yake si haki hata kidogo kuzichapa.
Nimesoma habari yenye kichwa cha habari habo juu, kwa bahati nzuri mimi nafahamu vizuri huo mvutano ninasikitika sana kwamba gazeti kubwa kama habari leo limeshindwa kupata ukweli na kuamua kuchapisha shutuma za uzushi.
Katika Story gazeti linasema limeongea na elisha (mlalamikaji) na Mchungaji (mlalamikiwa), Je gazeti limeongea na mke wa elisha kusikia anasemaje?
Elisha alimuacha mke wake kwa utashi wake mwenyewe, na mkewe ameteseka sana, na amekuwa akisaidiwa na waumini pamoja na ndugu zake wengine, (hata mke wangu mtarajiwa amemsadia), sasa hizo habari za mchungaji kumpangia chumba zinatoka wapi?
Huyu mtu anaishi mbagala na wala sio mkoani, gazeti limeshindwa kumtafuta, kumtembelea kwake kuona anaishi vipi na kumfanyia mahojiano?
MIMI SIO MSHIRIKA WA TAG lakini naifahamu vizuri hiyo story na ni UONGO mtupu! nilitegemea gazeti muweze kufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuchapisha hizi shutuma, ingawa katika story yenu mnasema ni shutuma lakini kwa sababu hazina ukweli ndani yake si haki hata kidogo kuzichapa.