Mnakumbuka story ya Raia Mwema
Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.
Doreen aliolewa April 2012, NDOA YA KATOLIKI na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA
Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.
Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.
In summary Doreen
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.
Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.
Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu
Ina maaana Mrema na ushushu wake hakufanya due dilligence? Sasa mbona anadaiwa kupora mke wa mtu? 👇 Ndoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata na kusemekana kuwa ni batili kufuatia uwepo wa madai kuwa mwanamke aliyefunga nae ndoa, Doreen Kimbi...
www.jamiiforums.com
Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.
Doreen aliolewa April 2012, NDOA YA KATOLIKI na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA
Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.
Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.
In summary Doreen
- Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
- Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
- Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
- Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.
Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.