Askari wenye vyeti feki

Askari wenye vyeti feki

Kumekuwepo na hoja mitandaoni kuwa askari wenye vyeti feki wakifukuzwa basi uharifu utaongezeka hii ni dhana tu ambayo haina ukweli kwanini nasema hivyo

Tukumbuke hawa askari si kwamba wote wanatoka mkoa mmoja, au wilaya moja hawa askari kila mtu anakwao tukumbuke ile dhana ya watawanye kisha watawale ndio sawa na hii kwa askari endapo wakitimuliwa kwa kutumia vyeti feki hawa kila mtu ataenda kwao hivyo ni ngumu sana kushawishika akaanza uharifu

Mfano kituo au kambi moja wakapatikana askari ishirini hawa lazima kila mtu akitimuliwa atarudi kwao mfano mmoja arudi kwao nkasi rukwa uko mwingine aende lindi uko unafikilia nini hapo kuna munganiko tena

Kitu kingine mtaani kuna askari wengi ni wastafu na wamepigika ila hii hali ya kufanya kila anayestaafu anarudi kwao imewatawanya hivyo basi hata ile dhana ya kuanzisha genge la kihuni haipo maana wanesambaa wamepoteana kabisa

Hivyo basi suala kufukuza kazi askari wenye vyeti feki linawezekana kabisa
Linawezekana lkn sio muhimu kwa sasa
 
Kumekuwepo na hoja mitandaoni kuwa askari wenye vyeti feki wakifukuzwa basi uharifu utaongezeka hii ni dhana tu ambayo haina ukweli kwanini nasema hivyo

Tukumbuke hawa askari si kwamba wote wanatoka mkoa mmoja, au wilaya moja hawa askari kila mtu anakwao tukumbuke ile dhana ya watawanye kisha watawale ndio sawa na hii kwa askari endapo wakitimuliwa kwa kutumia vyeti feki hawa kila mtu ataenda kwao hivyo ni ngumu sana kushawishika akaanza uharifu

Mfano kituo au kambi moja wakapatikana askari ishirini hawa lazima kila mtu akitimuliwa atarudi kwao mfano mmoja arudi kwao nkasi rukwa uko mwingine aende lindi uko unafikilia nini hapo kuna munganiko tena

Kitu kingine mtaani kuna askari wengi ni wastafu na wamepigika ila hii hali ya kufanya kila anayestaafu anarudi kwao imewatawanya hivyo basi hata ile dhana ya kuanzisha genge la kihuni haipo maana wanesambaa wamepoteana kabisa

Hivyo basi suala kufukuza kazi askari wenye vyeti feki linawezekana kabisa
Sababu serikali inanzotoa, kama kweli ndio hizo hazina mashiko hata chembe mkuu.Mbona wakifanya makosa mengine wanafukuzwa na hawasemi kwamba wataanzisha magenge ya unyang'anyi.Hawa wanapashwa kushuhulikiwa kama watumishi wengine!
 
Walimu na nurses sio watu?? Polisi ndio watuu
Ndivyo ulivyoelewa? Nilimaanisha,issue ya vyeti kwao ikifanyika, itakuwa na treatment tofauti ! Wanaweza kuondolewa katika "silent mode" watakaothibitika kugushi! Wengine kama uliotaja, tumeona wanaondolewa kwa "loud mode". Nahisi umenipata,G/night.
 
Wameishahakikiwa na waliofoji wameishafukuzwa.kuna lingine???

Au unataka majina yao???
Yamebandikwa vikosini kwao, wewe fika geti la kambi yoyote ya jeshi utakalopenda, mwambie mlinzi wa getini akuelekeze yalipo majina ya maaskari bashite, utaenda kujionea huko.
 
Wameishahakikiwa na waliofoji wameishafukuzwa.kuna lingine???

Au unataka majina yao???
Yamebandikwa vikosini kwao, wewe fika geti la kambi yoyote ya jeshi utakalopenda, mwambie mlinzi wa getini akuelekeze yalipo majina ya maaskari bashite, utaenda kujionea huko.
Acha kutudanganya wew ulienda huko kambini ukayakuta hayo majina?
 
Acha kutudanganya wew ulienda huko kambini ukayakuta hayo majina?
Kwani kama huamini si ni suala tu, kufanya nilivyoeleza hapo juu.

Mimi nimeenda na nikayaona, nikapata wasaa wa kuzungumza na jamaa hao ambao kwa wakati huo wengine walikuwa wanafungasha vitu tayari kwa kuondoka zao.
 
Back
Top Bottom