Askari wenye vyeti feki

Askari wenye vyeti feki

Unadhani Majambazi ni Simba kwa hiyo wanawinda kwa ukoo mmoja? Askari mmoja tu anaweza fundisha bunduki watu elfu na ikawa hatari sana.
Kumbuka yule wa Magereza aliyeongoza kuvamia Sitakishari alivyowadungua
Kweli mkuu tena serikal iwe makini na hawa waliopo mtaani sio wastaafu tuu hata j.k.t huko mitaani wamejaa na hawana kazi huwezi jua malengo yao maana kila mtu na moyo wake kwa mfano chukulia wale waliokuwa wanaandamana pale jangwani kuomba ajira saa hibi wako wapi
 
He he! ukatupe watu wanaojua kutumia siraha na mbinu za mapambano! hlf haohao wewe unapokuwa umelala usiku wenyewe wanaangaika na vibaka,majambazi,wezi na mitandao ya kiharifu,wauza ngada n.k hii tayari ni connection moja kubwa kwao!! sasa mbaya zaidi hebu chukulia unafukuza makomando hata 20! vyeti feki wakuu wa jeshini hata 50..!! unategemea nini..?!
Hicho ndo kinachosumbua nigeria na burundi
 
Wastaafu wengi wao ni wazee wasio kuwa na nguvu na wanahitaji kupumzisha miili yao.
Panga la vyeti feki linakata hadi vijana ambao hata kuanza maisha baada ya kazi itakua ngumu.
 
mtochoro! achen kutetea ujinga jaman, kwan askar yeye ni nan mpaka aachwe aendelee kutumia chet feki? tusitengeneze matabaka eti kwa sababu tu ya nidham ya uoga, kama sekta nyingine wametumbuliwa bas hata na hao maaskar wawajibishwe tu,,,,,,, izo mnazoleta nyie ni nidham za uoga. waache kuogopa wenye vyao mnaogopa nyie ambao hata kumiliki baiskel shida
RIP KISWAHILI! KWA UANDISHI HUU!!
 
Kumekuwepo na hoja mitandaoni kuwa askari wenye vyeti feki wakifukuzwa basi uharifu utaongezeka hii ni dhana tu ambayo haina ukweli kwanini nasema hivyo

Tukumbuke hawa askari si kwamba wote wanatoka mkoa mmoja, au wilaya moja hawa askari kila mtu anakwao tukumbuke ile dhana ya watawanye kisha watawale ndio sawa na hii kwa askari endapo wakitimuliwa kwa kutumia vyeti feki hawa kila mtu ataenda kwao hivyo ni ngumu sana kushawishika akaanza uharifu

Mfano kituo au kambi moja wakapatikana askari ishirini hawa lazima kila mtu akitimuliwa atarudi kwao mfano mmoja arudi kwao nkasi rukwa uko mwingine aende lindi uko unafikilia nini hapo kuna munganiko tena

Kitu kingine mtaani kuna askari wengi ni wastafu na wamepigika ila hii hali ya kufanya kila anayestaafu anarudi kwao imewatawanya hivyo basi hata ile dhana ya kuanzisha genge la kihuni haipo maana wanesambaa wamepoteana kabisa

Hivyo basi suala kufukuza kazi askari wenye vyeti feki linawezekana kabisa
unafahamu juu ya neno "solidarity"?
 
Hebu muwaache, they have their own education system standard seven anamfundisha graduate halafu akishafuzu graduate anakuwa incharge na walimu wake wanakuwa masubordinates
 
mtochoro! achen kutetea ujinga jaman, kwan askar yeye ni nan mpaka aachwe aendelee kutumia chet feki? tusitengeneze matabaka eti kwa sababu tu ya nidham ya uoga, kama sekta nyingine wametumbuliwa bas hata na hao maaskar wawajibishwe tu,,,,,,, izo mnazoleta nyie ni nidham za uoga. waache kuogopa wenye vyao mnaogopa nyie ambao hata kumiliki baiskel shida
Mwalimu atafundisha private, Daktari ataenda private, Muhasibu nk sasa Askari kujiajiri kwake ni kutumia silaha
 
Kumekuwepo na hoja mitandaoni kuwa askari wenye vyeti feki wakifukuzwa basi uharifu utaongezeka hii ni dhana tu ambayo haina ukweli kwanini nasema hivyo

Tukumbuke hawa askari si kwamba wote wanatoka mkoa mmoja, au wilaya moja hawa askari kila mtu anakwao tukumbuke ile dhana ya watawanye kisha watawale ndio sawa na hii kwa askari endapo wakitimuliwa kwa kutumia vyeti feki hawa kila mtu ataenda kwao hivyo ni ngumu sana kushawishika akaanza uharifu

Mfano kituo au kambi moja wakapatikana askari ishirini hawa lazima kila mtu akitimuliwa atarudi kwao mfano mmoja arudi kwao nkasi rukwa uko mwingine aende lindi uko unafikilia nini hapo kuna munganiko tena

Kitu kingine mtaani kuna askari wengi ni wastafu na wamepigika ila hii hali ya kufanya kila anayestaafu anarudi kwao imewatawanya hivyo basi hata ile dhana ya kuanzisha genge la kihuni haipo maana wanesambaa wamepoteana kabisa

Hivyo basi suala kufukuza kazi askari wenye vyeti feki linawezekana kabisa

Nimesoma na kurudia tena bado sijapata sababu ya askari kuanza "KUHARA" baada ya kufukuzwa kwa kuwa na vyeti feki.
"UHARIFU" huu unaozungumzwa ni wa maradhi ama wa kihoro cha kufutwa kazi?
 
Askari mmoja wa magereza alitikisa nchi kwa kusababisha vifo vya askari polisi na kuondoka na ghala la silaha pale sitaki shari. Chezea ugali unaokula si askari.taaluma ya mapigano ya vita hata aliyedarasa la saba anafundishika vizuri na akipanga mbinu ya kuvamia uwezekano wa kufanikiwa ni mkubwa kuliko kushindwa hivyo mwenye cheti feki ambaye ni askari anaweza kumudu kazi yake sababu amepewa elimu tofauti nyingine kabisa katika vyuo vya kijeshi lakini mwenye cheti feki daktari hawezi mudu kazi yake.
 
Utandu huna uhakika na ulichoandika au huelewi kabisa ni kwa nini uhakiki usipite jeshini.Askari kurudisha kwao sio lazima kwani sio mhalifu anaweza kuishi popote.Wakiamua kuunda kundi la uhalifu wanaweza kama wafanyavyo raia wengine.Hawa wenzetu wamepitia mafunzo ndio maana tunakuwa na wasiwasi kama uhakiki utawapitia.
 
Sometimes mengne tuyaache tu...sio kila mahali tutake haki au usawa...

Wakitolewa wale jamaa hapatakalika mitaani...na ugumu huu wa maisha tusidhani wataenda kuwa dereva boda boda hv ....ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom