Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,396
- 4,020
Kuna vitu hatutavielewa kwa urahisi,tuwaachie serikali. Hivi,unatarajia kulundika askari 2000 pale necta wakikata rufaa ya vyeti ni vyema! Tofautisha na ilivyo kwa waalimu na nurses.Usijifanye huelewi.