luhala
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 412
- 142
mkuu this is beyonds idiot badilika kumbuka waliokufa ni kaka zetu, vijana wenzetu huko walipokua awakuwa na bendera ya magamba bali ya taifa ni lazima tufike mahala tutambue utaifa kwanza na pia jiulize kama ndugu yako angekuepo usingeandika ujinga huu muombe sana mungu wako.
Mimi ni CHADEMA hadi kifo, lakini nimehuzunishwa sana na maoni ya baadhi ya jamaa humu eti "kupongeza" mauaji ya vijana wetu. Huu si uzalendo hata kidogo kwani waliouwawa kule ni watanzania wenzetu.
Inawezekana kweli miongoni mwao wamo CCM lakini ninavyoelewa mimi wamo pia wapenzi wa vyama pinzani kama CHADEMA, CUF, NCCR, TLP, nk. Uthibitisho wa hilo ni kwamba upinzani ulipata kura nyingi zaidi ya CCM ndani ya makambi ya JWTZ na maeneo ya kuishi askari Polisi (Barracks).z
Ni kweli CCM wanakosea sana kuwatumia Polisi kama tawi lao katika kutekeleza maovu yao, lakini hufanya hivyo kwa siri tena wakiwatumia vibsraka wachache waliomo.
CCM wamechemsha upande wa Jeshi (JW)maana makamanda na askari hawako sambamba katika hili la kutumika na CCM.
Kinachotokea Mtwara si unazi wa CCM bali ni utekelezaji maamuzi potofu lakini halali ya serikali yenye rekodi mbovu kabisa katika utekelezaji wa haki za raia wake, inayothubutu kuagiza, tena kupitia bungeni Polisi kufanya jinai dhidi ya raia wasiyoitarajia hatia. Dawa ya hili ni kuiondoa serikali hii ya waganga tumbo na vibwetere ifikqpo 2015. RIP comrades