Hakuna sheria ya kupiga mtu hata kama amevunja sheria kabla ya kuhukumiwa.
Kwa hiyo kuna sheria ya kupiga kama mtu amevunja sheria baada ya kuhukumiwa?
Hakuna sheria ya kupiga mtu hata kama amevunja sheria kabla ya kuhukumiwa.
Ndio, hujasikiaga adhabu ya viboko mkuuKwa hiyo kuna sheria ya kupiga kama mtu amevunja sheria baada ya kuhukumiwa?
Kilikuja na wakoloni kiingereza sio kinyamwezi, umeandika ukaridhika kuwa umetema yai sawa sawa eti?African countries are p**t holes, so are its residents under this kind of regimes!
Lazima kuwe na sababu za yeye kutumia nguvu. Watanzania tuelimike jamani tusiwe watu wa kukariri mamboHata kama unajua sheria askari akiamua kutumia nguvu anatumia tu na sio kwasababu wewe ni mnyonge
Wangechezea mitama na taikwando za fasta fasta, hao jamaa wa 92 kj sio wa level za matrafic, ni wavunja taya hao.Lakini ki usalama sio vizuri Na ni hatari...najiuliza kama aliyekwidwa je angekua ni wakutoka kikosi cha komando cha jwtz ingekuaje?
Kwa mtazamo wako wanachokifanya hiki ni sahihi? Pendekezo langu kwa serikali somo la sheria liwe la lazima kwa ngazi zote za elimuHivi unajua mtu anayepigwa anapigwaje???
Umeshawahi kuona mtu anatandikwa wewe???
Huyo mtu amepigwa,au anavutwa vutwa shati??
Huyu hajapigwa labda hujui mtu anapigwaje???
Nimeshangaa kwakweli!Kwa mtazamo wako wanachokifanya hiki ni sahihi? Pendekezo langu kwa serikali somo la sheria liwe la lazima kwa ngazi zote za elimu
So kama jama nae alianza kumpiga huyo askar..Sawa, Ila inawezekana alianza Kwa kumpiga makofi Kabla ya picha kuchukuliwa!
Pengine alivyoona anachukuliwa picha ndipo akaamua kumbuluta !
Yote yanawezekana!
Inawezekana unadhani unajua sheria.Kwa mtazamo wako wanachokifanya hiki ni sahihi? Pendekezo langu kwa serikali somo la sheria liwe la lazima kwa ngazi zote za elimu
Kitendo cha kumgusa raia ni kosa, kitendo cha kumvuta namna ile ni kosa!
Ni udhalilishaji!
WaTZ wengi mnatia huruma aisee?!
Yani kitendo hicho Wewe hujui Kama ni kosa ?
Na ndo maana wenzenu wanatumia udhaifu wenu wa kuto jitambua Kwa kuwafanyia watakavyo!
Kwamba askari anaweza kukuchomoa ktk gari tu na kuanza kukuburuza ,mbona sijawahi kukutana na askari wa hivi??So kama jama nae alianza kumpiga huyo askar..
Sote hatujui timbwili limeanzia wap... In short hajapigwa ila kadhalilishwa kama hakua mkorof
Hujakutana nao kwenye anga zao hata uwe nani wakiamua wanakudunda tu kama ni kesi baadae na sina mfano wa kesi yyte aliyewashitaki na akashinda akafidiwa
Hawa ni askari wa usalama barabarani wakimpiga raia sijui tatizo ni nini, na imekuwa kama kawaida kwa hawa askari wa barabarani kuwavizia watu wenye vyombo vya moto na kuwafanyia mambo kama haya
kisheria sijui limekaaje wakuu?
Duh!, Watanzania kweli wanyonge sana. Mbaya zaidi hawajui haki zao .