Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Kuna swali muda mrefu nimekuwa nikijiuliza na sipati jibu ila jana nimelipata. Nimekuwa nikijiuliza kwanini ikisimamishwa daladala traffic police hafati gari ila anashuka kondakta na kumfata nyuma??
Sasa jana katika pitapita zangu wakati nimetulia sehemu kuna askari wa barabarani walikuwa wamepaki sehemu wakisimamisha daladala, nilichokiona ni kwamba kila konda akishuka anaifinya buku au buku mbili akifika pale wanapeana mabega anamwachia mzigo kisha konda anarudi kwenye gari chuma kinang'oa.
Jamani kama gari inatatizo piga fine hisika huku kunyamazia kwa izo bukubuku ndio mnacost maisha ya wanaopanda kwa migari mibovu.
Kama utakuwa umenimind wewe mind sikuogopi ila wote inabidi tule kwa JASHO sio ujanja ujanja
Kwa ndugu zangu waislamu nawakumbusha mtume (SAW) amesema "MTOA NA MPOKEA RUSHWA WOTE MOTONI"
Tumuogopeni Mungu hizo bukubuku zitawachoma akhera.
Sasa jana katika pitapita zangu wakati nimetulia sehemu kuna askari wa barabarani walikuwa wamepaki sehemu wakisimamisha daladala, nilichokiona ni kwamba kila konda akishuka anaifinya buku au buku mbili akifika pale wanapeana mabega anamwachia mzigo kisha konda anarudi kwenye gari chuma kinang'oa.
Jamani kama gari inatatizo piga fine hisika huku kunyamazia kwa izo bukubuku ndio mnacost maisha ya wanaopanda kwa migari mibovu.
Kama utakuwa umenimind wewe mind sikuogopi ila wote inabidi tule kwa JASHO sio ujanja ujanja
Kwa ndugu zangu waislamu nawakumbusha mtume (SAW) amesema "MTOA NA MPOKEA RUSHWA WOTE MOTONI"
Tumuogopeni Mungu hizo bukubuku zitawachoma akhera.