Tuwarikodi WalaRushwa
New Member
- Jun 3, 2016
- 1
- 7
Huyu ni askari anayesadikiwa kutoka katika kituo cha Urafiki, kilichoko Ubungo Dar es Salaam.
Alikuwa na wenzake wapatao wanne au watano, mmoja akiwa katika sare za jeshi pia, na wengine wakiwa katika mavazi ya kiraia. Walitega mingo katika makutano ya barabara ya Ubungo Maziwa na Barabara ya Morogoro. Walikuwa wakichukua rushwa kwa dereva wa bodaboda na magari. Mengine, jionee zaidi.
My Take:
Rais Magufuli anayo kazi kubwa sana katika mapambano dhidi ya rushwa. Ni lazima awafanyie kazi askari wa Jeshi la Polisi, kama kweli ana nia ya dhati ya kukomesha rushwa ndogondogo ambazo zinasababisha vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani zisizokoma.
Tafadhali saidieni kuisambaza video hii hadi iwafikie wenye mamlaka, wawezao kuwachukulia hatua askari hawa.
Nawasilisha.
Machi 31, 2016 kuna mdau alishadokeza juu ya tabia ya Askari jijini Dar kuchukua rushwa kwa njia ya kutopokea mkononi na kukulazimisha kupeleka "mzigo" kwenye gari mwenyewe:
Alikuwa na wenzake wapatao wanne au watano, mmoja akiwa katika sare za jeshi pia, na wengine wakiwa katika mavazi ya kiraia. Walitega mingo katika makutano ya barabara ya Ubungo Maziwa na Barabara ya Morogoro. Walikuwa wakichukua rushwa kwa dereva wa bodaboda na magari. Mengine, jionee zaidi.
My Take:
Rais Magufuli anayo kazi kubwa sana katika mapambano dhidi ya rushwa. Ni lazima awafanyie kazi askari wa Jeshi la Polisi, kama kweli ana nia ya dhati ya kukomesha rushwa ndogondogo ambazo zinasababisha vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani zisizokoma.
Tafadhali saidieni kuisambaza video hii hadi iwafikie wenye mamlaka, wawezao kuwachukulia hatua askari hawa.
Nawasilisha.
Machi 31, 2016 kuna mdau alishadokeza juu ya tabia ya Askari jijini Dar kuchukua rushwa kwa njia ya kutopokea mkononi na kukulazimisha kupeleka "mzigo" kwenye gari mwenyewe:
Askari wa Usalama Barabarani eneo la Sayansi Kijitonyama Jijini Dar ni jipu.
Wanalazimisha uwape rushwa. Wamebuni namna ya kupokea rushwa, unaambiwa uingie kwenye gari (ieleweke hilo gari linakuwa la trafiki, muda mwingi linakuwa limepaki hapo), Ukiingia kwenye gari wanalock, unatoa rushwa unaacha kwenye gari, wanakufungulia unaondoka.
Mimi nimefanyiwa hivyo so nina uhakika ninachokisema.
Tutafika tu.