Askari wa Rwanda wafanya Shambulizi Mpakani

Wacha JWTZ waingie kazini maana hawana kazi na ndio sababu waligeuza operesheni tokomeza ujangili kama uwanja wa vita kwa kuua,kutesa na kudhalilisha raia.Wacheni wakamalize kiu yao maana wana miaka mingi wamekaa "idle" tu.
 
Ni kweli Kagame mkorofi ila ana akili.Hawezi kufanya misheni isiyo na maslahi yoyote kwake.Hizi stori za kijiweni tu!

Hawezi thubutu kijiografia ya kivita kakaa pabaya.Kongo wanajeshi watanzania wapo,Kagera anapakana na Tanzania.
Burundi hawaivi naye na pale karibu kuna kona ile tunapakana naye Watanzania wanajeshi wapo.Akilianzisha kona pekee ya yeye kuponyokea ni ya Uganda.Hivyo akilianzisha JWTZ ina uwezo wa kumbana mbavu kila kona na anajua hana pa kuponyokea hivyo hawezi thubutu wala kuota anajua akithubutu ndio siku zake zitakuwa zimeishia hapo.
 
Anafunga wapinzania wake vifungo virefu gerezani, juzi kamfunga yule mama wa kihutu. hana ushupavu bari anatumia jeshi lake kuua na kufunga wananchi wenye mtzamo tofauti.
Yule anayeuwa watu na mabomu makanisani, kwenye mikutano ya vyama vya siasa; kung!oa watu macho na kucha bila ganzi; kumwagia watu tindikali -anatofauti gani na PK?
 
Haya sasa,kama ni kweli tukazijaribu fighter/interceptor zetu mpya!Lakini nadhani habari hii si kweli,PK hawezi jaribu kwani kwake itakua ni suicide attempt.
 
Hilo kama lipo ujue kuwa Kagame ametumwa kuchokoza.Wenzake wako nyuma watafuata badae.
 
Yule anayeuwa watu na mabomu makanisani, kwenye mikutano ya vyama vya siasa; kung!oa watu macho na kucha bila ganzi; kumwagia watu tindikali -anatofauti gani na PK?


Nadhani unafananisha usingizi na kifo, rwanda huwezi simama jukwaani ukataja mapungufu ya Kagame halafu ukaendelea kuishi mtaa, ukisamehewa maisha yakeo yote ni gerezani. Jiulize kwa nini wapinzani wengi wa PK shughuli zao wanazifanyia nje ya nchi kama ANC wakati wa makaburu.
 
Haya sasa,kama ni kweli tukazijaribu fighter/interceptor zetu mpya!Lakini nadhani habari hii si kweli,PK hawezi jaribu kwani kwake itakua ni suicide attempt.
Hakuna haja ya kupeleka mashine mpya, zile zile za zamani zinatosha kumchomoa PK, kwani zitakaa mwisho zitaharibika
 
Nadhani unafananisha usingizi na kifo, rwanda huwezi simama jukwaani ukataja mapungufu ya Kagame halafu ukaendelea kuishi mtaa, ukisamehewa maisha yakeo yote ni gerezani. Jiulize kwa nini wapinzani wengi wa PK shughuli zao wanazifanyia nje ya nchi kama ANC wakati wa makaburu.
Mbona yule aliyetawala TZ kuanzia sijui 1960 huko mpaka 1984 naye alikuwa kama PK au umesahau. Nani alidiriki kusimama jukwaani na kumkandia? Waliojaribu si waliishia lupango? Kuna haja gani ya kujifanya unaruhusu mtu akukandie jukwaani mchana , lakini usiku unamfuata kumtoboa macho na kumtoa kucha bila ganzi?
 
Jogi mkuu,

Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kutofautiana na Pres Kagame haina maana tumpuuzie au kupindisha yale mema na mazuri anayoyatenda kwa nchi yake na wana-nchi wake. Amefanikiwa katika mambo mengi sana na watu wa Rwanda wanamkubali kwa hilo. We can debate on his methods but the truth of the matter is the guy gets things done in an efficient and effective manner. Watu wa Rwanda wana discipline sasa hivi kwa sababu ya uongozi thabiti wa Baba Kagame. Wengi wanaompinga Kagame either ni wa-Hutu wenye mrengo mkali wanaotawaliwa na ukabila na chuki za visasi e.g. terrorist Victoire Ingabire, Ngeze etc au wa-Tutsi malimbukeni na wenye tamaa ya madaraka wanaomuonea donge Pres Kagame na mafanikio aliyoyaleta katika kipindi kifupi cha utawala wake. Hii inajumuisha na viongozi wasio na shukrani akiwamo Gen. Nyamwasa na wengineo ndani ya Rwanda.
Sasa sisi mema ya rwanda yanatuhusu nini?

Wewe nadhani ni mnyarwanda ndio maana ubaandika huu upuuzi,

Siku Amiri jeshi mkuu akitangaza vita mimi nitarudi jeshini na nitapigana mstari wa mbele kuwamaliza hao mbu
 
Mbona yule aliyetawala TZ kuanzia sijui 1960 huko mpaka 1984 naye alikuwa kama PK au umesahau. Nani alidiriki kusimama jukwaani na kumkandia? Waliojaribu si waliishia lupango? Kuna haja gani ya kujifanya unaruhusu mtu akukandie jukwaani mchana , lakini usiku unamfuata kumtoboa macho na kumtoa kucha bila ganzi?

Acha kufananisha mambo ya zama zilizopita na sasa hivi. Huku tunaona wapinzani wakizunguka nchi zima kujiimarisha, kule tunaona wapinzani wakiwa gerezani wengine wakipoteza maisha na wengine wakikimbia nchi.
 
Sasa sisi mema ya rwanda yanatuhusu nini?

Wewe nadhani ni mnyarwanda ndio maana ubaandika huu upuuzi,

Siku Amiri jeshi mkuu akitangaza vita mimi nitarudi jeshini na nitapigana mstari wa mbele kuwamaliza hao mbu

Chris,

Mimi si mnyarwanda bali ni M-Tanzania mzalendo mwenye kupenda kusema ukweli. Hapa namuelewesha ndugu yangu kuwa Pres Kagame ni makini na hawezi thubutu kuivamia Tanzania kirahisi. Kagame ni kiongozi mwenye kuamini katika nidhamu na kuitekeleza. Ameleta mafanikio makubwa sana nchini Rwanda. Sasa kama wewe unaona huu ni upuuzi hiyo ni juu yako. Suala la wewe kurudi jeshini kupigana vita ni jukumu lako kama m-Tanzania na sio hisani kwa nchi yako. Unataka upewe peremende? Ndugu yangu jaribu kutumia kwa manufaa utashi mdogo uliopewa na Mungu na si kubisha na kukebehi kila mtu kila kona bila sababu za msingi.
 
hii itakua sababu nzuri ya Tanzania kumtoa madarakani huyu dikteta anakandamiza demokrasia nchini rwanda. naomba waendelee kuchokoza huko mpakani
 
Jogi mkuu,

Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kutofautiana na Pres Kagame haina maana tumpuuzie au kupindisha yale mema na mazuri anayoyatenda kwa nchi yake na wana-nchi wake. Amefanikiwa katika mambo mengi sana na watu wa Rwanda wanamkubali kwa hilo. We can debate on his methods but the truth of the matter is the guy gets things done in an efficient and effective manner. Watu wa Rwanda wana discipline sasa hivi kwa sababu ya uongozi thabiti wa Baba Kagame. Wengi wanaompinga Kagame either ni wa-Hutu wenye mrengo mkali wanaotawaliwa na ukabila na chuki za visasi e.g. terrorist Victoire Ingabire, Ngeze etc au wa-Tutsi malimbukeni na wenye tamaa ya madaraka wanaomuonea donge Pres Kagame na mafanikio aliyoyaleta katika kipindi kifupi cha utawala wake. Hii inajumuisha na viongozi wasio na shukrani akiwamo Gen. Nyamwasa na wengineo ndani ya Rwanda.

hana lolote huyo dictator saivi hadi kivuli chake anakiogopa.
 
hii itakua sababu nzuri ya Tanzania kumtoa madarakani huyu dikteta anakandamiza demokrasia nchini rwanda. naomba waendelee kuchokoza huko mpakani
Demekrasia Rwanda ....!
Watu wetu wanakufa kwa njaa ,ujinga na maradhi wewe unaimba demokrasia Rwanda upumbavu mkubwa!
 
Hii ni tetesi...

So nasubiri confirmation!! "Initializing..."

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom