Wapili ni huyu.Akili yake ipo kikazi zaidi pamoja kwa mwonekano wa nje watu wanaweza kumchukulia kitofauti
Natamani mabinti mujifunze kitu hapo. Kulala umejisitiri kunafaa sana haswa wakati huu ambapo dini zinaenezwa kwa kuua makafir. Huwezi jua wanatokea lini na wapi, hivyo ukitoka nduki, uwe umejitayarisha.
Mhurumieni mwenzenu, labda jamaa ampe kombati yake
Sasa mkuu na huu mgao wa umeme hapa Dar unategemea mabinti wa dar watajistiri kweli?bcoz some times fan inazidiwa unaamua kuizima!!
Ila watu wengine watakuja na mitazamo tofauuuti.
Natamani mabinti mujifunze kitu hapo. Kulala umejisitiri kunafaa sana haswa wakati huu ambapo dini zinaenezwa kwa kuua makafir. Huwezi jua wanatokea lini na wapi, hivyo ukitoka nduki, uwe umejitayarisha.
Mhurumieni mwenzenu, labda jamaa ampe kombati yake
:biggrin1:
Huyu askari ni wa kupewa medali kwa kweli.
Kabisa mdau,jamaa am sure atapandishwa cheo
Huyu askari ni wa kupewa medali kwa kweli.
Yeah,ila atapewa wadhifa na JamaaNa huyo muokolewaji atapewa wadhifa fulani nae
Yeah,ila atapewa wadhifa na JamaaNa huyo muokolewaji atapewa wadhifa fulani nae