Katika hali isiyo ya kawaida kuna askari jeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda wameweka kambi mpakani mwa wilaya ya Karagwe kunini hapo mwenye taarifa zaidi atujuze,
chanzo nimimi mwenyewe,
Katika hali isiyo ya kawaida kuna askari jeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda wameweka kambi mpakani mwa wilaya ya Karagwe kunini hapo mwenye taarifa zaidi atujuze,
chanzo nimimi mwenyewe,
Nia tunayo, sababu tunazo, uwezo tunao, tumtwange tu. Nawaambia askari wetu hawa wakituchokoza piga tu.
Napenda zaidi tuichukue Rwanda iwe sehemu ya Tanzania
Wanajeshi zaidi ya 5000 wanafanya mazoezi eastern cape s.a,lengo kuingia kwa nguvu katika nchi zenye migogoro ni kuhusiang na makubaliano ya mkataba wa 13 unaojulikana kama jointy peace army<usaraf>mjumuiko wa vikosi vinavyoshiriki nusu ni waamerika na nusu ni wahapa afrika itajumuisha elephantries#air forces#navy and medical speacial team~kagame ujambazi wake dhidi ya congo unakwisha kabisa #ref .people daily online
Katika hali isiyo ya kawaida kuna askari jeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda wameweka kambi mpakani mwa wilaya ya Karagwe kunini hapo mwenye taarifa zaidi atujuze,
chanzo nimimi mwenyewe,