momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,930
- 1,955
Mkuu unasema jeshi si taaluma!!!Jeshi sio taaluma, labda kama kajiendeleza pia kwa taaluma nyingine za kiraia tofauti na hapo nawafahamu waliofukuzwa au kustafu kazi maisha yao huwa magumu sana huku kitaa na wengi wao ndio hufanya kazi za ulinzi.
NB, binasfi huwa sizalau kazi halali ya mtu maadamu inamuwezesha kupambana na njaa lakini huwa nashaanga wengine kujiweka raia daraja la kwanza.