Africanar
Member
- Jan 20, 2018
- 86
- 24
- Thread starter
- #41
ni ngumu kwa imani yangu mkuuKama unaamini uwepo wa Mwenyezi Mungu nenda kaombe toba yako, siyo kwa mauwaji bali kwa hiki ulichoandika hapa.
vp upo tayari kwenda kuthibitisha mahakaman mkuuHakika n vigumu polisi kutoka katika mambo haya n ndio tatizo cha kwanza DHULUMA cha pili KUSHITAKI KWA UONGO tatu KUTO RIDHIKA NA MISHAHARA YAO (RUSHWA) hakika hayabndo shda kwao na daima wataish maisha duni kutokana na hayaa
hapana mimi ni CIANi lazima huyu in UVCCM# mikono imejaa damu
asante mkuu pole na wewepole madam
MBOWE KAANZISHA MAANDAMANO YENYE FUJO NA VURUGU.Eti kuna ushahidi gani risasi ilifyatuliwa na polisi? Yaani unatetea mauaji yaliyofanywa na Polisi? Wewe ni mmoja wao kuna siku haya mnayoyafanya yatakwisha.
Eti kuna ushahidi gani risasi ilifyatuliwa na polisi? Yaani unatetea mauaji yaliyofanywa na Polisi? Wewe ni mmoja wao kuna siku haya mnayoyafanya yatakwisha.
Sijawahi hata kutumia bunduki lakini najua kuwa kila gun barrel ina tofaut inayoacha kwenye risasi inavyo vyatuliwa.inaonesha unayajua sana mambo ya silaha ikiwamo utumiaji maana umeeleza vizuri huko nyuma
Wakiwemo majambazi na waharifu wengine wanazo AK 47 kwa magendokwanza wewe unaijua risasi au unadhani ni manati yanayotumia mawe
hakuna Raia anayeruhusiwa kumiliki Sub machine Gun, AK 47 NK
ni watu maalum tu ndio wanaruhusiwa na hawafyatui bila AMRI ya FIRE