Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
Ni binadamu wasio na akili... Ndio Tatizo la kuchukua failures....
N video ngap zinathibitisha vitendo vya rushwa n wangap mtaanii wapo jela kwa kesi ambazo sio zao eeeh mbn unajitoa ufahamu mkuu
huijui hiyo silaha wala uzito wake ukidhani ni manati, utatembea nayo AK47 Kinondoni Mkwajuni begani au mfuko wa suruali? tena saa 11 jioni ndani ya maandamano. Hebu msitetee ujinga wa buk 7 hao ni POLISI hao 6 tuWakiwemo majambazi na waharifu wengine wanazo AK 47 kwa magendo
Uthibitisho ni huu ameutoa Kamanda mwenyewe... Je, kuna uthibitisho gani kama askari ndiye aliefyatua risasi ?
haitowezekana mbonaMwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa wa Dar, anahusika kwa kupanga mikakati ya usalaam, ningekuwa mimi ningehimiza polisi wasitumi silaha za moto kukabiliana na matukio haya ili isitie doa kwenye kauchaguzi kenye lawama za matumizi mabovu ya kodi kwa kutumia sheria
vyovyote uonavyo kwan hata ww ni binaadamu pia ko huo ndio ukomo wa fikra zakoSasa naanza kumuona firauni aliyezungumzwa katika vitabu vya dini katika ulimwengu wa sasa hakuna mahari dunian kuna chuo cha unafiki lakini naona idadi ya wanafiki ikiongezeka tafasiri yake nikwamba sasa shetani aliyejivika ngozi ya kondoo nchini Tanzania kwa miaka mingi kaanza kujionesha kuwa yeye nimbwa mwitu na siyo kondoo
ok.fine thank uKwa taarifa yako huyo mambosasa amesema alijeruhiwa kwa bahati mbaya wakati wa kukabiliana na waandamanaji, japo bado maswali ni mengi tu kwa huyo kamanda moja wapo likiwa kama ni bahati mbaya hao askari wanashikiliwa kwa sababu gani?
Ndipo Msemo wa wahenga unapokuwa na maana ukiwa muongo jitahidi kuwa na kumbukumbu.
Swali la kwanza ni la kima cha chini kuliko mshahara Wa mlinzi Wa mhindi. Swali la pili kina logic japo limepindapinda.kwann mkuu
1.Je, kuna uthibitisho gani kama askari ndiye aliefyatua risasi maana Kamanda Mambosasa amebainisha kuwa yawezekana ile risasi haikutoka mikononi mwa askari ila watu wasiojulikana ambapo ukiangalia kwa jicho la pili utaona Kamanda anaweza kuwa sahihi maana mashuhuda wote hawakuona kama ilitokea upande wa polisi kwani kulikuwa na vuguvugu na hivyo watu wabaya wakatumia nafasi hiyo.
hehe kuna tatizo mkuu?naona umechange le avatar mkuu
ni raia mwema tuu mimi mkuu na ndio maana mwanzonikatanguliza nipo tayari kukosolewa,hivo ni mawazo yangu