Askari Polisi nao ni binadamu

Askari Polisi nao ni binadamu

Wakiwemo majambazi na waharifu wengine wanazo AK 47 kwa magendo
huijui hiyo silaha wala uzito wake ukidhani ni manati, utatembea nayo AK47 Kinondoni Mkwajuni begani au mfuko wa suruali? tena saa 11 jioni ndani ya maandamano. Hebu msitetee ujinga wa buk 7 hao ni POLISI hao 6 tu
 
Kweli huyu jamaa ana mapenzi sana na jeshi la polisi. Wao wamekiri ni kweli unawatetea nini!nyambaf
 
1Samweli15:33 Lakini Samweli akamjibu, Kama upanga wako ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto wao, vivyo hivyo mama yako atafiwa miongoni mwa wanawake.
 
Mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa wa Dar, anahusika kwa kupanga mikakati ya usalaam, ningekuwa mimi ningehimiza polisi wasitumi silaha za moto kukabiliana na matukio haya ili isitie doa kwenye kauchaguzi kenye lawama za matumizi mabovu ya kodi kwa kutumia sheria
haitowezekana mbona
 
Sasa naanza kumuona firauni aliyezungumzwa katika vitabu vya dini katika ulimwengu wa sasa hakuna mahari dunian kuna chuo cha unafiki lakini naona idadi ya wanafiki ikiongezeka tafasiri yake nikwamba sasa shetani aliyejivika ngozi ya kondoo nchini Tanzania kwa miaka mingi kaanza kujionesha kuwa yeye nimbwa mwitu na siyo kondoo
vyovyote uonavyo kwan hata ww ni binaadamu pia ko huo ndio ukomo wa fikra zako
 
Kwa taarifa yako huyo mambosasa amesema alijeruhiwa kwa bahati mbaya wakati wa kukabiliana na waandamanaji, japo bado maswali ni mengi tu kwa huyo kamanda moja wapo likiwa kama ni bahati mbaya hao askari wanashikiliwa kwa sababu gani?
Ndipo Msemo wa wahenga unapokuwa na maana ukiwa muongo jitahidi kuwa na kumbukumbu.
ok.fine thank u
 
1.Je, kuna uthibitisho gani kama askari ndiye aliefyatua risasi maana Kamanda Mambosasa amebainisha kuwa yawezekana ile risasi haikutoka mikononi mwa askari ila watu wasiojulikana ambapo ukiangalia kwa jicho la pili utaona Kamanda anaweza kuwa sahihi maana mashuhuda wote hawakuona kama ilitokea upande wa polisi kwani kulikuwa na vuguvugu na hivyo watu wabaya wakatumia nafasi hiyo.

Hapo nyekundu na kupigiwa mstari. Kamanda anamaanisha aidha polisi au sio polisi kwa sababu kuna raia wanamiliki silaha kihalali. Swali, ni kwa asilimia ngapi yaweza kuwa sio polisi au kuwa watu wasiojulikana? Na kwa kiwango gani cha confidence ya kitawimu yaweza kuwa kati ya ubashiri wake waweza kuwa kweli au la? Watu wasiojulikana, wawezaje kujua tabia zao?

Hapo kwenye buluu na kupigiwa mstari. Kwa kutumia data iliyokusanywa kwa mashuhuda, je, hilo vuguvugu halikuwa upande wa polisi? Je, hao mashuhuda sio kati ya watu wasiojulikana? Hao mashuhuda wana macho ya aina gani ya kuona trajectory ya risasi ikiwa kwenye kasi yake baada ya kufyatuliwa? Je, ni risasi moja tu ndio iliyofyatuliwa katika tukio hilo? Na hao watu kama ni kweli mashuhuda, iweje wahusika wasijulikana wakati macho yao yana uwezo wa kuona risasi ikitoka kwenye mtutu na uelekeo wake mpaka mwisho? Yaani, hiyo brain sio ya kawaida?

Mwisho kabisa, kwa nini serikali inabeba dhamana ya mazishi ya marehemu?
 
Kama walifanya wrong shoot 30 bullet wakashindwa kumuua tundu wanashindwaje kuua watu wasiio na hatia hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom