Hakuna cha mazingira hapa!! sharti akabakwe humo lupango tutaagiza vibaka ishirini wamwoe kwa zamu. Kati yao watano ni waathirika. Hadi awashwe na maji washawasha kama yale aliyokuwa akimwagia raia
mimi mtu akinitumia ujumbe wa hivyo namdharau moja kwa moja .......hata kama ni jambo la maana nampuuzia by the way baba watoto wangu alikuwa anatabu hii ila nimemfunza mpaka akaelewa mambo ya kuniambia husinipikie badala ya usinipikie siyataki
Mkuu siku hizi imeshakua ni kama kawaida tu kwa mtu kutokutumia herufi "h" jaribu kuchunguza utaona maajabu aisee!! Kuna hii "Alafu" kama imeshakua ndio mbadala wa "Halafu" tena mijitu mingine mizima!! Inasikitisha sana aiseee,Kaazi kweli kweli..!!
pyee nilimkomalia mpaka kajia of course alikuwa ananitongoza
hutakuja mpenz hahahaha badala ya utakuja mpenzi ila baada ya kukubaliana ikabidi nigeuk mwalimu wake tukimaliza ku du tunafunzana..................................
pyee nilimkomalia mpaka kajia of course alikuwa ananitongoza
hutakuja mpenz hahahaha badala ya utakuja mpenzi ila baada ya kukubaliana ikabidi nigeuk mwalimu wake tukimaliza ku du tunafunzana..................................
Mkuu mimi naona tuwakosoe na kuwarekebisha wote wanao iharibu hii lugha ya kiswahili na hasa kwenye matumizi sahihi ya herufi,unapoona kosa rekebisha,tusifumbie macho kabisa ama sivyo lugha fasaha ya Kiswahili itabaki kua ni historia tu,
Ninachojiuliza ni kua hivi hata huko mashuleni hua wana andika hivi hivi kama wanavyo andika humu?
ASKARI wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Raphael Makongojo (25) aliyembaka aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Korogwe amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
Pia Makongojo amepewa adhabu kali, ikiwemo viboko 12 pamoja na kuamriwa kutoa faini ya Sh milioni 15 mara atakapomaliza kifungo chake.
Hukumu hiyo iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Arusha ndani ya chumba cha faragha (chemba) ambako waandishi hawakuruhusiwa kusikiliza hukumu, lakini baadaye waliambiwa kwa sharti la hakimu wala waendesha mashtaka kutajwa majina yao kwa sababu kesi hiyo iliendeshwa faragha.
Awali kesi hiyo ilianza kwa mshitakiwa kusomewa maelezo yake ya awali akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa Kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Korogwe ambaye hivi sasa amemaliza masomo.
Awali askari huyo alishushwa pamoja na mahabusu wenzake mahakamani hapo, lakini kwa kuwa kesi inayomkabili ni ya ubakaji hivyo inasikilizwa ndani ya chumba cha faragha (chemba) ambako hakuna ruhusa kwa wanahabari kuandika habari hiyo hadi hapo hukumu itakapotolewa.
Kwa mujibu wa Kifungu cha Sheria Namba 186 (3) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura ya 20 ya Mwenendo wa Makosa ya Kujamiiana ya Mwaka (1998) inayosema kuwa bila kujali masharti ya sheria nyingine yoyote inayohusisha makosa ya kujamiiana, ushahidi au mashahidi watakaohusika hawaruhusiwi kutolewa kwenye chombo chochote cha habari.
Awali, mshitakiwa huyo kwa mara ya kwanza alifikishwa mahakamani hapo na kusomewa shtaka lake kwa hakimu (jina linahifadhiwa) ambako Wakili wa Serikali (jina linahifadhiwa) alidai mahakamani hapo kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Januari 16, mwaka huu katika eneo la Kwa Mrombo, FFU jijini Arusha.
Alidai kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo kinyume cha Kifungu cha 130(1 na 2 a) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 16.
Baada ya hukumu hiyo kutolewa, mama mzazi wa mtoto huyo ambaye hakupenda kutaja jina lake, aliiomba serikali kuingilia kwa makini sheria inayohusu makosa ya ubakaji ili adhabu itakayotolewa kwa mbakaji iwe kifungo cha maisha badala ya hakimu au mahakama kutoa kifungo cha miaka 30.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.