Askari Polisi Afa Maji Akimkimbiza Mtuhumiwa

Mijitu inalaumu sijui askari kutumia nguvu badala ya akili
Badala ya kumuombea apumzuke shujaa wetu mnazungunza ujinga tu. Huyo afande alikua kwenye majukumu ya kulinda raia na amekubali kuhatarisha maisha yake kwa ajili yetu. Mkumbuke ziwa lina mamba lakini askari kaingia kumfuata mtuhumiwa.
Na sababu ni kunaswa na nyavu hata ujue kuogelea vipi ukinaswa na nyavyu chini ya maji hutoki.
Naomba jeshi la poliso limtafute huyo mtuhumiwa kwa nguvu na akili zote na akipatikana apigwe risasi tu sio wa kumkamata mzima mzimaL]
Mkuu huyu askari ni kweli katumia nguvu kuliko akili.Kwanza hili tukio limetokea siku zimeshapita kidogo lbda taarifa zimechelewa tu kuwafikia.

Ni kama wiki na siku kadhaa zimepita kuna mzee aliibia vitu vyake stationary na wezi walikamatwa saa moja asubui tena na huyu huyu askari marehemu akiwa na askar mwenzake.

Sasa ungekuepo ungeona jinsi huyu marehemu alivyokua akitumia nguvu nyingi kuliko akili.Hao wezi walikua kwanza bado ni watoto lakini jinsi marehemu alivyokua anavyo walazimisha wakubali kuwa wameiba ungewaonea huruma hao wezi.

Aliwapiga sana tena sisi raia tukishuhudia mpaka dogo mmoja alizirai kwa kipigo.siku hata hazijapita nyingi tunapata habar kuwa Afande kavuta baada ya kujarbu kuwa fukuza wakokosi.

Inaonekana huyu marehem alikua anafanya kazi kwa mihemko au ndo tabia yake ya hasira.
 
Back
Top Bottom