Shusa luck
Member
- Apr 7, 2021
- 50
- 121
Wazo lako nizuri sana tuunganeNjoo tuanzishe kampuni ya ulinzi.
Ndoto yako ya uaskari itaendelea kuwa real
Wazo lako nizuri sana tuunganeNjoo tuanzishe kampuni ya ulinzi.
Ndoto yako ya uaskari itaendelea kuwa real
Karibu sana mkuu, unapatikana wapi?Wazo lako nizuri sana tuungane
Sawa mkuuNjoo tuanzishe kampuni ya ulinzi.
Ndoto yako ya uaskari itaendelea kuwa real
Ungejila mzee kaa huko hukoNilitamani sana kuwa askari nilipomaliza chuo mwaka 2009. Mungu hakupenda iwe hivyo.
Mbona hiyo ni ajali tu kama zilivyo nyingine,kwani alijua kama ataenda kunasa kwenye hizo nyavu?Tatizo askari wanahimizwa kutumia nguvu kila mahala badala ya kutumia nguvu na akili.
DuuuhUngejila mzee kaa huko huko
Kwasasa nipo songea lakini nyumbani ni Sengerema mwanzaKaribu sana mkuu, unapatikana wapi?
Mkuu huyu askari ni kweli katumia nguvu kuliko akili.Kwanza hili tukio limetokea siku zimeshapita kidogo lbda taarifa zimechelewa tu kuwafikia.Mijitu inalaumu sijui askari kutumia nguvu badala ya akili
Badala ya kumuombea apumzuke shujaa wetu mnazungunza ujinga tu. Huyo afande alikua kwenye majukumu ya kulinda raia na amekubali kuhatarisha maisha yake kwa ajili yetu. Mkumbuke ziwa lina mamba lakini askari kaingia kumfuata mtuhumiwa.
Na sababu ni kunaswa na nyavu hata ujue kuogelea vipi ukinaswa na nyavyu chini ya maji hutoki.
Naomba jeshi la poliso limtafute huyo mtuhumiwa kwa nguvu na akili zote na akipatikana apigwe risasi tu sio wa kumkamata mzima mzimaL]
alitaka mwenyeweAmekufa kifo cha tabu kweli kweli.
R.I.P afande!
Una uzoefu na hii field ya ulinzi?Kwasasa nipo songea lakini nyumbani ni Sengerema mwanza
Mi form 4 failure hii inapenda sana rushwa na kuomba omba akili ya kutafuta hawana kabsa wez wakubwamhhh
Siku hizi siyo uanajeshi tena?Nilitamani sana kuwa askari nilipomaliza chuo mwaka 2009. Mungu hakupenda iwe hivyo.
😂 😂 😂Subiri kwanza.
Huku tukisubiri Jeshi la Polisi tuambie na wewe unakimbizwa na nani?
Ama ndo mtuhumiwa?
sio kwa uandishi huo.
PumbavuKazi ya hovyo kabisa kama unajitambua huwezi kuingia huko
Siwezi sema kwamba Nina experience lakini kikubwa nikwamba ninamafunzo ya JKTUna uzoefu na hii field ya ulinzi?
Naam Komredi mzalendo...👍Sawa brother
Kwan mwanajeshi sio askari?Siku hizi siyo uanajeshi tena?