Mkuu JWTZ CAP ya kuchukua kwa "wanataaluma" huwa 42 hivi....Kwa sasa automatically siwezi kuwa askari. Nina miaka 37
😲Kazi ya hovyo kabisa kama unajitambua huwezi kuingia huko
Sawa mkuuMkuu JWTZ CAP ya kuchukua kwa "wanataaluma" huwa 42 hivi....
Labda sheria imebadilika mwaka huu...labdaa....
Bado una muda mkuu......Sawa mkuu
Pole sana kaka miaka 12 bila ajira.Nilitamani sana kuwa askari nilipomaliza chuo mwaka 2009. Mungu hakupenda iwe hivyo.
Kazi ya kipuuzi sana mshukuru MunguNilitamani sana kuwa askari nilipomaliza chuo mwaka 2009. Mungu hakupenda iwe hivyo.
Mbona una kila dalili ya kuwa mtipidi... Au unazuga tu!!Kwa sasa automatically siwezi kuwa askari. Nina miaka 37
Sawa brotherBado una muda mkuu......
Unaweza kutimiza ndoto zako Kaka....
mhhhKazi ya kipuuzi sana mshukuru Mungu
Asante sana mkuu. It hurts so much my brotherPole sana kaka miaka 12 bila ajira.
It hurts a lot
Sasa hivi ni askari wetu wa JF.Nilitamani sana kuwa askari nilipomaliza chuo mwaka 2009. Mungu hakupenda iwe hivyo.
Mbona unaandika kinyonge hivo mshahara ni wa kawaida,kazi ya jeshi ni ngumu aaee!inahitaji morali aaee!siyo kama polisi aaaee pushup kwenye godoro!aeee!Nilitamani sana kuwa askari nilipomaliza chuo mwaka 2009. Mungu hakupenda iwe hivyo.
Apumzike salama, ameumaliza mwendo akiwa katika Majukumu yake akika anastahili pongezi japo atunae tenaHabari mbaya na kuhuzunisha
Gazeti la Mwananchi linaripoti kuwa Askari Polisi nchini Tanzania afande Isaya Kawogo amefariki.dunia akiwa kwenye harakati za kumkimbiza ili kumkamata mtuhumiwa wa uhalifu
Tukio hilo limetokea Mwisenge Musoma wakati Askari huyo akijaribu kumkamata mtuhumiwa huyo wa Ujambazi aliyejitosa ziwani na polisi huyo aliamua kumfuata na kwa bahati mbaya alinasa kwenye nyavu na kuzama majini kwenye Ziwa Victoria
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara RPC Longinus Tubushibwamu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo
Taarifa zaidi itatolewa na Jeshi la Polisi
=======
Musoma. Askari polisi, Isaya Kawogo amefariki dunia baada ya kuzama katika Ziwa Victoria wakati akimkimbiza mtuhumiwa wa ujambazi.
Hayo yameelezwa leo Ijumaa Mei 28, 2021 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Longinus Tibishubwamu akibainisha kuwa tukio hilo limetokea eneo la Mwisenge manispaa ya Musoma.
Amesema askari huyo pamoja na wenzake wakiwa doria walikutana na mtuhumiwa huyo na kuanza kumkimbiza.
“Yule mtuhumiwa alijitosa ziwani na askari aliamua kumfuata huko huko ziwani lakini akiwa katika harakati za kumkamata alinasa kwenye nyavu na kuzama. Mtuhumiwa alifanikiwa kuimbia,” amesema kamanda huyo.
Chanzo: Mwananchi
Njoo tuanzishe kampuni ya ulinzi.Asante sana mkuu. It hurts so much my brother