Na pia zile bia zisizo na VAT na bidhaa nyingine zilizokua zinauzwa kwenye bar za magereza na polisi wamefuta kwanini?Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Safi sana mtukane matusi yote kiongozi maana hawa askari tukiwaambia ccm ni janga la kitaifa hawaamini kabisa.. ccm oyeeee!!!askari mlevi analia lia,posho imechelewa siku tatu umeamua kuuza kiapo chako,siku ukiambiwa kuna dharula hutalipwa mwezi huu naona utapita mitaani na bango"MAGEREZA HATUJALIPWA".
wenzako wamenunua boda boda wakiwa off wanajikusanyia elfu mbili mbili,wewe unawaza iingie ukanywee gongo.
Tuko uchumi wa katiSiku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Kuna watu huwa wanataka kuonekana waelewa ama wasomi mahala ambako huo usomi wao ama uelewa hata hauhitajiki!Mkuu, ninaomba kukushauri kitu kimoja hapa.
Katika maisha siku zote mambo hayawezi kwenda unavyotaka wewe.
Katika maisha kuna kupata na kukosa, kupanda na kushuka, kuzaliwa na kufa, juu na chini pia kuchelewa na kuwahi.
Ndio maana hata ukienda katika ATMs kutoa pesa unaweza leo ukatoa pesa vizuri ila ukija kesho kutwa unakuta network hakuna.
Hii haina maana kuwa Bank husika hawapo makini, hapana, bali ni changamoto tu za kazi pamoja na maisha.
Jifunze uvumilivu katika maisha.
Sawa bossKuna watu huwa wanataka kuonekana waelewa ama wasomi mahala ambako huo usomi wao ama uelewa hata hauhitajiki!
Hiyo posho ina suasua sana inaonesha ni namna gani mzigo umekua mzito kwa awamu hii!!! Sio posho tuu hata pension zimeota mbawa wengi wanakufa hawazipati !!! Umeelewa mataga??Yaani kukosekana posho kwa siku tano unasema wameshindwa. Ila kweli we nyang'au wa ajabu.
Tulia wewe tunagawana kwaza huku zikibaki tutawafikiriaSiku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Hii ilikuwa wapi walikuwa wanagawa pesa za nnTulia wewe tunagawana kwaza huku zikibaki tutawafikiriaView attachment 1575642
Tatizo CcmSiku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.
Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Safi sana mtukane matusi yote kiongozi maana hawa askari tukiwaambia ccm ni janga la kitaifa hawaamini kabisa.. ccm oyeeee!!!
Tatizo ni jiwe, twende na Lissuaskari mlevi analia lia,posho imechelewa siku tatu umeamua kuuza kiapo chako,siku ukiambiwa kuna dharula hutalipwa mwezi huu naona utapita mitaani na bango"MAGEREZA HATUJALIPWA".
wenzako wamenunua boda boda wakiwa off wanajikusanyia elfu mbili mbili,wewe unawaza iingie ukanywee gongo.
Subirini uchaguzi upiteAwamu ya 5 ili vuruga tarehe zote, polisi tar 30, magereza tar 15 sasa hizo tarehe watu hawalipwi kama ilivyo ahidiwa. imekuwa tofauti sana. haya leo tar 20 hamna posho hata.
Kwa hiyo atakula uniform?Ila nawaona mnakuwa na uniform nzuri mpyaaa zinang'aa. Tofauti na wale wa msumbiji wanavaa ndala!