Askari Magereza posho hawajalipwa, tatizo ni nini?

Awamu ya 5 ili vuruga tarehe zote, polisi tar 30, magereza tar 15 sasa hizo tarehe watu hawalipwi kama ilivyo ahidiwa. imekuwa tofauti sana. haya leo tar 20 hamna posho hata.
Posho ilikua 150000/ sasa awamu hii wakakurupuka kupeleka 300000/ sasa wanashindwa zilikua mbio za sakafuni
 
Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.

Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
wewe si ulisema umestaafu? Ukawa unalilia mafao yako au wakupe ht Nauli? vp umepata cheo kipya huko Magereza?
 
Kuna mmoja nimemwona anazunguka kwenye kampeni za magufuli amevalishwa uniform za ccm
 
Pesa tumepeleka Kwenye uchaguzi. Mtuvumilie kdgo kuanzia mwezi wa 12 tutakuwa tumemaliza hili zoezi la uchaguz. Mtalipwa stahiki zenu
 
Hivi kwa nini hamtaki kuamini kuwa CCM ni tatizo?

Halafu kumbe wewe huwa ni askari magereza, eh? Ndio maana post zako zinahusu majeshi
Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.

Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
 
Nyie si mnakula virushwa vya buku buku za wafungwa.
28 oktoba ni tarehe ya kufanya chaguo sahihi.
 
Ile mienge wanayovaa kwenye berret imenuiziwa na kuwapumbaza hata wasilalamike hata kwenye maslahi yao.Hakuna namna wale tu misosi ya mateka
 
askari mlevi analia lia,posho imechelewa siku tatu umeamua kuuza kiapo chako,siku ukiambiwa kuna dharula hutalipwa mwezi huu naona utapita mitaani na bango"MAGEREZA HATUJALIPWA".


wenzako wamenunua boda boda wakiwa off wanajikusanyia elfu mbili mbili,wewe unawaza iingie ukanywee gongo.
 
Back
Top Bottom