road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
Posho ilikua 150000/ sasa awamu hii wakakurupuka kupeleka 300000/ sasa wanashindwa zilikua mbio za sakafuniAwamu ya 5 ili vuruga tarehe zote, polisi tar 30, magereza tar 15 sasa hizo tarehe watu hawalipwi kama ilivyo ahidiwa. imekuwa tofauti sana. haya leo tar 20 hamna posho hata.