Askari Magereza posho hawajalipwa, tatizo ni nini?

Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.

Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Na pia zile bia zisizo na VAT na bidhaa nyingine zilizokua zinauzwa kwenye bar za magereza na polisi wamefuta kwanini?
 
askari mlevi analia lia,posho imechelewa siku tatu umeamua kuuza kiapo chako,siku ukiambiwa kuna dharula hutalipwa mwezi huu naona utapita mitaani na bango"MAGEREZA HATUJALIPWA".


wenzako wamenunua boda boda wakiwa off wanajikusanyia elfu mbili mbili,wewe unawaza iingie ukanywee gongo.
Safi sana mtukane matusi yote kiongozi maana hawa askari tukiwaambia ccm ni janga la kitaifa hawaamini kabisa.. ccm oyeeee!!!
 
Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.

Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Tuko uchumi wa kati
 
Mkuu, ninaomba kukushauri kitu kimoja hapa.

Katika maisha siku zote mambo hayawezi kwenda unavyotaka wewe.

Katika maisha kuna kupata na kukosa, kupanda na kushuka, kuzaliwa na kufa, juu na chini pia kuchelewa na kuwahi.

Ndio maana hata ukienda katika ATMs kutoa pesa unaweza leo ukatoa pesa vizuri ila ukija kesho kutwa unakuta network hakuna.

Hii haina maana kuwa Bank husika hawapo makini, hapana, bali ni changamoto tu za kazi pamoja na maisha.

Jifunze uvumilivu katika maisha.
Kuna watu huwa wanataka kuonekana waelewa ama wasomi mahala ambako huo usomi wao ama uelewa hata hauhitajiki!
 
Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.

Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Tulia wewe tunagawana kwaza huku zikibaki tutawafikiria
IMG_20200920_232220.jpeg
 
Siku hizi hatuelewi kuna shida gani, askari Magereza huwa wanapokea posho zao tar 15 ya kila mwezi ila hadi ni tar 20 posho bado.

Sasa haieleweki posho hizo watalipwa lini sasa wanaishi kwa matumaini. Lazima tutafute mbinu za kuishi kama tuna tegemea askari magereza tuliowakopesha bidhaa kwenye maduka yetu.
Tatizo Ccm
 
Siku 5 tu unalialia. Pesa ya serikali haipitei, sema tu wakati mwingine huchelewa. Huko upigaji mwingi, subiri uhakiki mtalipwa soon
 
Safi sana mtukane matusi yote kiongozi maana hawa askari tukiwaambia ccm ni janga la kitaifa hawaamini kabisa.. ccm oyeeee!!!

ni kiumbe wa kike tu ambaye unaweza mwamabia mumeo aliyekuweka ndani na kukupa huduma zote hakupendi,ukafanikiwa kumshawishi kwa vocha ya buku 2.hakuna mahali pengine unaweza mashawishi binaadam kwa maneno mepesi namna hiyo.

askari ni mwajiriwa wa serikali ya ccm,inayomlipa pesa mkononi laki 3 kama mbadala wa maduka ya bei nafuu kambini,lissu akasikika akisema atayarudisha.
sijui nani alimdanganya aseme hivi!!!
 
askari mlevi analia lia,posho imechelewa siku tatu umeamua kuuza kiapo chako,siku ukiambiwa kuna dharula hutalipwa mwezi huu naona utapita mitaani na bango"MAGEREZA HATUJALIPWA".


wenzako wamenunua boda boda wakiwa off wanajikusanyia elfu mbili mbili,wewe unawaza iingie ukanywee gongo.
Tatizo ni jiwe, twende na Lissu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Labda kuna mkwamo wa network na mkunbuke mpo wengi nchi nzima.na pesa ipo kwa mhasibu ila kuna watu wana madeni mlikopa.Fuata kanun za jeshi usitie aibu mitandaoni.kuwa mzalendo
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom