Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 856
- 1,006
Habari za asubuhi.
Wiki moja iliyopita kulifanyika semina maeneo mbalimbali kwa walimu wa masomo ya English na Sayansi.
Walimu hao kutoka maeneo ya umbali mrefu sehemu tofauti wakakutana kwa siku mbili siku ya jumatatu na jumanne ya tarehe 05 na 06 ya February 2024 japo wengine walikwenda siku ya jumapili.
Cha ajabu mpaka leo hawajalipwa baadhi ya vituo ikiwemo kituo cha muungano (Kwinji) hawajalipwa kwingine washalipwa. Posho walizoahidiwa kulipwa hawajalipwa je kwanini wanaliwaahidi.
Wahusika TIE fuatilieni tatizo hili.
Wiki moja iliyopita kulifanyika semina maeneo mbalimbali kwa walimu wa masomo ya English na Sayansi.
Walimu hao kutoka maeneo ya umbali mrefu sehemu tofauti wakakutana kwa siku mbili siku ya jumatatu na jumanne ya tarehe 05 na 06 ya February 2024 japo wengine walikwenda siku ya jumapili.
Cha ajabu mpaka leo hawajalipwa baadhi ya vituo ikiwemo kituo cha muungano (Kwinji) hawajalipwa kwingine washalipwa. Posho walizoahidiwa kulipwa hawajalipwa je kwanini wanaliwaahidi.
Wahusika TIE fuatilieni tatizo hili.