Askari akitembea juu ya moto

Askari akitembea juu ya moto

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,473
Reaction score
757
fire.jpg
 
ni adhabu au ndo mazoezi.
kweli tuliambiwa tutakula kwa jasho,,hii ni zaidi ya jasho.
 
Sa ndo maana yake nn? Naona na wengine wamejiandaa..
 
Maaskari wengi wanaoitwa "Special Forces" hayo ni mazoezi ya kawaida sana!
 
.....Ni kuonyesha kila kitu kinawezekana under the Sun.
 
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso
 
Pamoja na shuruba zote hizo masikini wanalipwa mishahara kiduchu mno
 
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso

Huyo yupo kwenye kitengo cha entertainment au mazingaombwe!!!!
 
Cheusi umeniacha hoi kwa mwaswali yako

hata mim yameniacha hoi.
huyo kwenye avatar ni wewe au ndio wifi yetu?
ana shepu matata.
hivi mfukunyuzi kapotelea wapi jamani,nampenda sana yule baba.
 
Signature yako inawasilisha ukweli ambao wengi hawaupendi wala kuubali
Hongera

hata mim yameniacha hoi.
huyo kwenye avatar ni wewe au ndio wifi yetu?
ana shepu matata.
hivi mfukunyuzi kapotelea wapi jamani,nampenda sana yule baba.
 
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso

Wanaongezewa ARI ya kujiamini kuwa kila kitu kinawezekana. Ukijiamini unaweza hata ukadaka risasi iliyofyatuliwa!!
 
Signature yako inawasilisha ukweli ambao wengi hawaupendi wala kuubali
Hongera

ni kweli lkn nawaonea huruma maana mim naponda maraha ndani ya Yesu.
hata hivyo kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ni bwana,narudia kila kinywa na kila goti litapigwa mbele ya mfalme wangu.
Yaani acheni tu jamani kwa Yesu kuna raha ndio mana sina cha kumlipa bali kumkiri kila nipatapo fursa.
 
walikuwa kwenye magfunzo yaliyoandaliwa na PEAK performance..
 
Back
Top Bottom