Ask anything concerning any professional and I will give the answer

Ask anything concerning any professional and I will give the answer

Uh! English! Si uandike kiswahili tu badala ya kujiaibisha?
16767337923088522541608970683540.jpg

Ukimsoma huyo jamaa utaacha utopolo wa kubeza watu humu.
One of his quote "Most of non native english speakers, speak poor english bad and unrecognized pronunciation " he continue
"They pretend they know and.....".
Jitafakari sana kuna watu wanajua na wametuandikia vitabu kuwagundua watu kama nyie mnaojifanya mnajua kumbe hamjui.
"Native english speaker doesn't care grammer and mistakes a non native english speaker makes". A J .HOGE
Utajua hujui.
 
View attachment 2521864
Ukimsoma huyo jamaa utaacha utopolo wa kubeza watu humu.
One of his quote "Most of non native english speaker, speak poor english bad and unrecognized pronunciation " he continue
"They pretend they know and.....".
Jitafakari sana kuna watu wanajua na wametuandikia vitabu kuwagundua watu kama nyie mnaojifanya mnajua kumbe hamjui.
"Native english speaker doesn't care grammer and mistakes a non native english speaker makes". A J .HOGE
Utajua hujui.
Daah kazi ipo hapo...
 
View attachment 2521864
Ukimsoma huyo jamaa utaacha utopolo wa kubeza watu humu.
One of his quote "Most of non native english speaker, speak poor english bad and unrecognized pronunciation " he continue
"They pretend they know and.....".
Jitafakari sana kuna watu wanajua na wametuandikia vitabu kuwagundua watu kama nyie mnaojifanya mnajua kumbe hamjui.
"Native english speaker doesn't care grammer and mistakes a non native english speaker makes". A J .HOGE
Utajua hujui.

Watu tumeshakutana na watasha kazini,unauma uma ulimi kishenzi lakini anaokota vitu muhimu anaelewa.

Hawa wanaoamini english ni kuelimika sasa,waingereza wa kupaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu tumeshakutana na watasha kazini,unauma uma ulimi kishenzi lakini anaokota vitu muhimu anaelewa.

Hawa wanaoamini english ni kuelimika sasa,waingereza wa kupaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asome hio mistari kama mwelewa ataacha kubeza na kukejeli. Watanzania wasomi wanaujinga mwingi wa kujifanya wanajua. Elimu yenyewe ya kukariri, hata kuunda kijiko tu hatuwezi.
 
Naomba namna ya kupata GB za bure kwa vodacom Tigo na airtel su naomba VPN ya Halotel na airtel na Tigo ambayo ni strong
 
Back
Top Bottom