Tamaa mbaya by 20%Hivi huoni wazee wazima wanaowaacha wake zao na kutembea na vibinti vidogo sawa na wajukuu zao?
Hao hao ndio wezi.DAh! I hate those bitches wanaojidai frends hadi wanamuita mumeo bby na cmu hadi saa nane ucku..
Alafu anakuchekea..nyambaff
DAh! I hate those bitches wanaojidai frends hadi wanamuita mumeo bby na cmu hadi saa nane ucku..
Alafu anakuchekea..nyambaff
Acha kumtia pressure mwenzako.Hehehe unaongea kwa uzoefu? acha mumeo abebishwe bwana, uchoyo sio issue. Sasa unataka wenzio wakaponee wapi na jua hili la mjini
Kaza hvyohvyo,siku mkitabasamiana tu kwisha habari yako!Mimi mke wa jirani yetu ananshobokea kweli ila namkwepaga kinoma akinchekea naweka uso wa mbuzi akinuna natabasamu yani ni mwendo wa viceversa tu
"Basi wewe utakikutumia dhumuni la jina lako"Mimi mke wa jirani yetu ananshobokea kweli ila namkwepaga kinoma akinchekea naweka uso wa mbuzi akinuna natabasamu yani ni mwendo wa viceversa tu
"...Ndoa za siku hizi zina usumbufu kama nauli za sumatra"Malalamiko ya wanandoa kutokuwa waaminifu miongoni mwao yamekuwa mjadala wa sasa kiasi cha watu kuanza kushutumiana na wakati mwingine kuharibu mahusiano yao na hatimaye kuachanisha mahusiano ya kindoa.
Pamoja na hayo nataka mikuambie asiyekujua hakuchukulii mkeo au mmeo, mbaya wako ni yule inayemuita rafiki, mshkaji, msela au hata wale majirani unaowapa heshima za uncle, sister, brother aunt, mdogo wako na hata father ilhali sio uncle, sister, brother, aunt, wala father kiuhalisia. Hao ndio wabaya wako, wanasubiri uwape fursa tu wakinukishe, kama unabisha fuatilia wale wanaolalamika kuibiwa ujuwe wanaowaibia ni akina nani kama sio hao niliokuambia hapo juu.
Hata wale wenye wake wanaofanya kazi kwenye mafiosi ya serikali na makampuni bado hakuna cha boss wala manager anayeweza kukuibia mke ikiwa hajui mwanaume wake yupoje au ni mtu wa namna gani, watategemea mkeo awaambie jinsi anavyokuchukulia ndio wapime ikiwa mamboozs yanaweza kuwa mabaya mbeleni. Ni nadra sana kusikia mwanaume anatembea na mke wa mwanaume mwenzake huku akiwa hafahamu alivyo.
Usaliti ni tabia mbaya kama zilivyo tabia zingine, watu wanasalitiana pale a kuwepo kwa fursa, kwahiyo kuwa makini na watu unaoishi nao karibu.
Mkuu nipe muongozo unaanzaje kuomba kwa mmiliki?Wizi sio mzuri bora uombe Kwa mmiliki....
Ah jamaa jiongeze....!Mkuu nipe muongozo unaanzaje kuomba kwa mmiliki?
King'asti nibebishe mwaya nikununulie kagari na vijizawadiHehehe unaongea kwa uzoefu? acha mumeo abebishwe bwana, uchoyo sio issue. Sasa unataka wenzio wakaponee wapi na jua hili la mjini
King'asti nibebishe mwaya nikununulie kagari na vijizawadi
😵😵 duuuuuh! haya maji marefu ngoja nitoke zangu ndukiKagari ama jimgari? nataka unikombolee ile ya wema iliyokwama bandarini. Hebu weka terms wazi ubebishwe hadi usahau jina la mzazi wako wa kike
😵😵 duuuuuh! haya maji marefu ngoja nitoke zangu nduki
😀😀 njoo chukua funguo ya i.s.t mwaya, nimekunywa lita 2000 but no changes kumbe maji yenyewe yanapatikana kwako?Sasa wewe unataka kubebishwa na mke wa mwenzio, si inabidi ujiongeze?
H yesterday anthea uwasalimie huko, umekosa kunywa maji ya uzima uwe kama ray
😀😀 njoo chukua funguo ya i.s.t mwaya, nimekunywa lita 2000 but no changes kumbe maji yenyewe yanapatikana kwako?