Wanaokamatwa ni hao rafiki wa karibu lakini kuna msururu mkubwa nyuma ya pazia. Hata mateja huanza kuiba mbali mwisho huiba nyumbani kwao.
Mume au mke haibwi, anajiiba
Lakini pia itategemea huyo mwanamke ulimtoa akiwa kwenye mazingira gani na wewe ukamuweka kwenye mazingira gani baada ya kumuoa, mazingira nayo ni mchawi tosha ndio maana nashauri kijana anapooa ni vizuri akabadillisha mazingira na kutoyapa nafasi maisha yako ya u-single ikiwemo ukaribu wa marafiki kwenye familia yako(nyumbani). Wale wanaenda kunywa bia, soda pub, club nk. wananitengenezea mazjngira ambayo baadae yatazaa ushawishi kutoka maeneo hayo hayo ambayo ni rahisi kuelezea ni aina gani ya watu wanaokuwepo maeneo hayo na tabia zao.Hivi hii kitu ina kanuni kweli? Umeufikiria uwezekano wa mwanamke kuflirt na mtu asiemjua njiani,kwenye basi,sokoni, safarini au mazingira mengine ambayo yanamkutanisha na watu wasiokujua wala kumjua na kuishia kuwa wapenzi?
Huyo asiyekufahamu hakuibii na akikuibia atakuwa hakufahamu au mkeo alimdanganya bado hajaolewa.Hata ni afadhari nikaibiwa na mtu nisiyemfaham wala yeye hanifahamu, huwa inauma sana pale mbaya wako unamjua na yeye anakujua. Sikaribishi urafiki kwa mke wangu.
Sasa hayo huwa yanasemwa kwa watu wa karibu na familia ya wahusika, hivyo kuzuia hilo dawa ni kuondoa mazoeano kati ya familia yako na watu wengi isipokuwa ndugu zako tuKwa asiekujua kuelezea mtu/watu changamoto za mahusiano yenu let say ugomvi, ukata wa hela kwa mtu ni fursa ya kuiandaa chup**i yako ianze kuagana na mwili
Mkuu, wanawake wa siku hizi ni rahisi sana kukukana pindi anapokutana na mwanaume asiyemjua.Huyo asiyekufahamu hakuibii na akikuibia atakuwa hakufahamu au mkeo alimdanganya bado hajaolewa.
Hakuna cha wanawake wa siku hizi wala siku zile, ukiona mwanamke anakusaliti ujue anakudharau, akikuheshimu hawezi kufanya hayo, na kama hakueshimu ni bora ujenge mazingira ya yeye kukuogopa tu kunatosha.Mkuu, wanawake wa siku hizi ni rahisi sana kukukana pindi anapokutana na mwanaume asiyemjua.
Mkuu, ujumbe wako mzuri ila unauma na mbaya zaidi ukute unampenda bado huyo mke. Tehe tehee... Naogopa kupenda kupindukia maana wanawake hawatabiriki.Hakuna cha wanawake wa siku hizi wala siku zile, ukiona mwanamke anakusaliti ujue anakudharau, akikuheshimu hawezi kufanya hayo, na kama hakueshimu ni bora ujenge mazingira ya yeye kukuogopa tu kunatosha.
Tatizo sio wanawake tu bali wanaume pia nao wako hivyo.Mkuu, ujumbe wako mzuri ila unauma na mbaya zaidi ukute unampenda bado huyo mke. Tehe tehee... Naogopa kupenda kupindukia maana wanawake hawatabiriki.
Hasa vijana wa karne hii, nahisi tumezidi kwa uongo.Tatizo sio wanawake tu bali wanaume pia nao wako hivyo.
Kwani vijana wa karne zilizopita walikuwaje na uliwaona walivyokuwa?Hasa vijana wa karne hii, nahisi tumezidi kwa uongo.
Hata matukio yao yanakindhana sana na zama hizi Mkuu.Kwani vijana wa karne zilizopita walikuwaje na uliwaona walivyokuwa?
Hivi huoni wazee wazima wanaowaacha wake zao na kutembea na vibinti vidogo sawa na wajukuu zao?Hata matukio yao yanakindhana sana na zama hizi Mkuu.