Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Hujanitendea haki Figganigga. Katika post hii niliyepinga ni mimi tu, na haimaanishi kwamba sina akili. Niemeongea kwa mifano hai, na si kwa hisia kama wewe unavyofanya. Vituo vya kupigia kura vya karibu na kambi za jeshi si lazima wapiga wake wawe ni wanajeshi.hii habari ni kweli.na anaye pinga akapimwe akili.nakumbuka uchaguzi uloisha kituo mojawapo pale kwa wanajeshi rugalo jimbo la kawe kikwete alipata kura nne.yaani alifunikwa na slaa.mwisho wa siku halima mdee akakinukisha jimbo zima likaenda chadema.mia
Wanaweza kuwa ni wananchi wa karibu na kambi za jeshi wanaochukia manyanyaso ya wanajeshi na hatimaye kuichukia CCM. Niliyoeleza hapa ni yale ambayo nimeyatokea live, sasa wewe unaposema nikapimwe akili unamaanisha nini ili hali si wewe uliyeongea nao na kujua mitizamo yao?