Inawezekana usiamini, lakini huu ndo ukweli. Askari wengi wa vyeo vya chini na vya kati wa majeshi yote(JWTZ,POLICE NA MAGEREZA) hawana kabisa imani na CCM. Unaweza ukaniuliza utafiti huo nimeufanya lini na wapi na kwa sample ipi!
Kifupi ni kwamba, mzee wangu mimi ni afisa mstaafu wa jeshi. Nina ndugu zangu wengi sana wapo ktk majeshi. Kila jion tumekuwa tukienda ktk bwalo kubadilishana mawazo. Mara nyingi mada za siasa huibuka na hapo ndo utagundua wengi wameichoka CCM. Wapo wanaosema walikuwa na imani na Jk(si CCM) kwa kuwa alikuwa askari labda angewaboreshea maslaha yao, ila amewaangusha.
KAMA HUAMINI, JARIBU KUFANYA UTAFITI JAPO MDOGO KWA SAMPO YOYOTE UNAYOITAKA, JIBU UTAPATA.
Kifupi ni kwamba, mzee wangu mimi ni afisa mstaafu wa jeshi. Nina ndugu zangu wengi sana wapo ktk majeshi. Kila jion tumekuwa tukienda ktk bwalo kubadilishana mawazo. Mara nyingi mada za siasa huibuka na hapo ndo utagundua wengi wameichoka CCM. Wapo wanaosema walikuwa na imani na Jk(si CCM) kwa kuwa alikuwa askari labda angewaboreshea maslaha yao, ila amewaangusha.
KAMA HUAMINI, JARIBU KUFANYA UTAFITI JAPO MDOGO KWA SAMPO YOYOTE UNAYOITAKA, JIBU UTAPATA.