Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
yeyote anayeipenda CCM hadi dakika hiii inabidi akae chini afikirie kinachoendelea hasa vijijini (wanakoishi watanzania wote) na alinganishe na miaka 50, (nusu karne) ya uhuru halafu alinganishe na utajiri wote wa maliasili uliopo na ulioibiwa tayari, halafu atafakari tena kama bado anataka CCM iendelee.