Asilimia kubwa ya askari si wapenzi wa CCM

yeyote anayeipenda CCM hadi dakika hiii inabidi akae chini afikirie kinachoendelea hasa vijijini (wanakoishi watanzania wote) na alinganishe na miaka 50, (nusu karne) ya uhuru halafu alinganishe na utajiri wote wa maliasili uliopo na ulioibiwa tayari, halafu atafakari tena kama bado anataka CCM iendelee.
 
Sio mabanda ya njiwa tu na hilo ulilolisema ni la kweli si wanapata bia za bukubuku tu,ukichanganya na umbumbu,sifa na hayo maduka ya duty free, basi wanaona wameyapatia maisha.na vile wakiua kwa risasi wanatetewa,wakipora mali za watu nako wanatetewa, wana tumia crown kujipatia pesa isivyo halali na asilimia kubwa bado wana imani kabisa bila ccm nchi haiendi na huenda wakakosa kazi,lakini cha ajabu hata sasa wajeda kazi zao ni za contract ya six years kisha una renew, sio kama teacher akianza ni mpaka aharibu mwenyewe.

Kiukweli hao si wakuwategemea sana japo wapo ambao wanalia na CCM magamba na wengine hawawezi kabisa kuzuia hisia zao, tulikuwa tunakaa nao kipindi cha bunge kabla hali ahirishwa, walipokuwa wakisimama wapiganaji wa ukweli kutoka CDM hata wao morale ulikuwa unawapanda.

ila tushikamane tu, tutapambana nao na iko siku tutashinda tu
 
Sasa naona madhara ya vijana kutokwenda JKT. Lau kama wange hudhuria mafunzo ya kijeshi wangejua namna jeshi na wanajeshi wanavyo fanya kazi na hivvo maswali na maoni kama haya yasingetolewa. Poleni sana vijana.
Kwa taarifa yenu amri ikishatolewa jeshini huwa haijadiliwi ila niutekelezaji tu hata kama mtekelezaji hapendi. Kinyume chake ni matatizo makubwa kwa aliyesita au kukataa kutekeleza amri hiyo.
Ukweli ni kwamba askari kama walivyo watanzania wengine wapo wasioridhika na CCM na wako ambao wanaamini CCM ni baba na mama yao. Mbona tumeshuhudia wanafunzi wa vyuo vikuu ambao ni wafuasi na wakereketwa wakubwa wa CCM. Nawegine tumeona michango yao ya hovyo humu jamvini wakiitetea CCM bila hata hoja za msingi. Kwa hiyo hatuna sababu ya kuwalaumu inategemea tabaka walilomo na manufaa wanayoyapata.

Unataka kusema JKT ni suruhu hapo Tanzania nadhani siyo kweli kwani leo tunashudia walafi,wezi a.k.a mafisadi wengi wao wamepitia jkt lakini hao hao sio wazalendo hapo ndo tunapata mashaka na the rationale of jkt.
Siamini na sitaamini kuwa militia haipendi ccm basi wao ndo wangekuwa wa kwanza kuipindua serikali au kudai mabadiriko lkn tatizo lingine bado wako kwenye mfumo wa ukoloni kwamba order lazima utii kwanza..mkuu muda huyo umeisha bwana jwtz,prison na police wanabidi waonesha vitendo siyo kuongelea mambo vyumbani alafu no action pindua serikali mnachelewa wakuu
 
ukweli ndo huo,jamaa wamesahau shida zao kwa kupewa pombe za bure,ila kutoka kimaisha wame4get,watazidiwa hata na chinga asiye na kaz maalum
 
Back
Top Bottom