Wasanii ni sehemu ndogo sana ya siasa za Tanzania. Kumwangusha Diamond bado hakuwezi kuiondoa CCM madarakani. Hao wakina Tundu Lisu wanaonekana jinsi gani wamepoteza mwelekeo. Kwanini wasianzishe petition watu tusaini kudai katiba kama wapinzani wa kweli? Badala yake wanapambana na watu kama Diamond, kweli wapo serious? Mimi siipendi CCM, lakini swala hapa, hata hao CHADEMA ni waganga njaa tu, ndio maana wananchi wanawaona magumashi tu. Watanzania sio wajinga.