Asilimia 98 ya wasanii wapo chama tawala

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,709
Kuna kampeni inaendelea kumuangusha kijana Diamond kwenye tuzo za BET. Ukiliangalia naona limekuwa lenye upinzani ambao umeingiliwa na vyama vya upinzani kwa ajili tu siasa ziwepo sijui.

Sasa nauliza kama mtu Mwijaku wewe ulianza kwa ajili kumpiga chini mwisho likaingilia vyama vya pinzani.

Je, yeye akigombea tuzo za habari na yeye tupige chini maana yeye ni CCM.

IMG_6421.jpg

Tuje kwa wasanii wanaoshabikia mfano Alikiba na yeye ni CCM akipata tuzo hizo BET naye tupige chini !maana sera ya kupiga chini ni kwa sababu ya wasanii hawakemei maovu ndani ya chama chao kama vyama pinzani inavofanya.

IMG_6419.jpg

Kama mnaona uzalendo ni kugumu tunapoelekea sio pazuri
 
πš‚π™Έπ™Όπ™±π™° πš™πšŠπš•πšŽ πš”πšžπš—πšŠ π™Όπš˜πš˜ πš—πš’ 𝙲𝙲𝙼 πšœπš’πš“πšžπš’ πš’πšπšŠπš”πšžπš“πšŠ πš—πšŠπš’πš˜ πš”πš’πšœπšŠ πš–πšπšŠπšπš‘πš’πš›πš’ πš—πš’ 𝙲𝙲𝙼 πš‹πšŠπšœπš’ πšπšžπš™πš’πšπšŽ πšŒπš‘πš’πš— πš‚π™Έπ™Όπ™±π™° πš—πšŠ πšπšžπšπšŠπš—πš’πš’πšŽ πš‘πšžπš“πšžπš–πšŠ πš’πšœπš’πšŒπš‘πšžπš”πšžπšŽ πš„πš‹πš’πš—πšπš πšŠ?
 
Pale clouds FM ilikuwa ni kampeni mwanzo mwisho Hadi wengine wakapewa na U-DC

TBC ndio usiseme.

Millard Ayo ilikuwa ni mwendo wa kusifia tu.

Wasanii kalibia wote walimpigia kampeni Magufuli.

Mo alitekwa lakini alisema nini naye ilikuwa mwendo wa kusifia tu.

Wana-CCM kalibia wote hakuna aliyekuwa anauwezo wakusema lolote mbele ya Magufuli.

Mtoto wa tandale ndio angefungua mdomo wake hahahaa this is joking guys mtu Kama Kinana aliombeshwa msamahaa imagine Diamond angefanywa nini.
 
Jibu ni moja tu Diamond ni mkubwa zaidi ya Chadema,hivi kweli uhangaike na Ali KIBA,harmonize,millardayo si Unataka watoto wa watu wasiende chooni kabisa.

Madhara ya ukubwa ndo hayo anakutana nayo diamond sasa
 
Wacha Mond avune usaliti alioupanda kuungana na watesi kwa tamaa ya pesa.
 
Wasanii ni sehemu ndogo sana ya siasa za Tanzania. Kumwangusha Diamond bado hakuwezi kuiondoa CCM madarakani. Hao wakina Tundu Lisu wanaonekana jinsi gani wamepoteza mwelekeo. Kwanini wasianzishe petition watu tusaini kudai katiba kama wapinzani wa kweli? Badala yake wanapambana na watu kama Diamond, kweli wapo serious? Mimi siipendi CCM, lakini swala hapa, hata hao CHADEMA ni waganga njaa tu, ndio maana wananchi wanawaona magumashi tu. Watanzania sio wajinga.
 
Sisi konde gengi tunamshusha dimondi hivyo hivyo na huu upepo msituulize tupo chama ganiπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ’πŸ€£
 
Viongozi wa dini maarufu na wakubwa jaribu wote wanashiriki mikutano ya ccm, inabidi wanaharakati uchwala waache kwenda kusali kwenye nyumba za ibada zinazosimamiwa na viongozi hao.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom