chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,709
Kuna kampeni inaendelea kumuangusha kijana Diamond kwenye tuzo za BET. Ukiliangalia naona limekuwa lenye upinzani ambao umeingiliwa na vyama vya upinzani kwa ajili tu siasa ziwepo sijui.
Sasa nauliza kama mtu Mwijaku wewe ulianza kwa ajili kumpiga chini mwisho likaingilia vyama vya pinzani.
Je, yeye akigombea tuzo za habari na yeye tupige chini maana yeye ni CCM.
Tuje kwa wasanii wanaoshabikia mfano Alikiba na yeye ni CCM akipata tuzo hizo BET naye tupige chini !maana sera ya kupiga chini ni kwa sababu ya wasanii hawakemei maovu ndani ya chama chao kama vyama pinzani inavofanya.
Kama mnaona uzalendo ni kugumu tunapoelekea sio pazuri
Sasa nauliza kama mtu Mwijaku wewe ulianza kwa ajili kumpiga chini mwisho likaingilia vyama vya pinzani.
Je, yeye akigombea tuzo za habari na yeye tupige chini maana yeye ni CCM.
Tuje kwa wasanii wanaoshabikia mfano Alikiba na yeye ni CCM akipata tuzo hizo BET naye tupige chini !maana sera ya kupiga chini ni kwa sababu ya wasanii hawakemei maovu ndani ya chama chao kama vyama pinzani inavofanya.
Kama mnaona uzalendo ni kugumu tunapoelekea sio pazuri