nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
Kama uchaguzi ungefanyika leo Tanzania, asilimia 85% ya watanzania wanasema kuwa hawaitaki serikali iliyopo madarakani. Ufumbuzi huu umetokana na mini survey niliyofanya kwa kutumia data (maoni) kutoka kwa JF members (kuanzia 2010 baada ya uchaguzi mpaka leo).
Sampling na survey design:
Hii ni qualitative descriptive analysis iliyohusisha random sample iliyochaguliwa toka JF population (which is currently =38,368). Swali lililoangaliwa ni mtizamo wa maoni (opinions), yaani: pro au against the government. Control ya comfounding factors kama udini na ukabila pia imefanyika ili kuondoa bias katika final results. Survey imehusisha idadi ya watu 3518 (sample size) ambayo imechaguliwa toka kwa population ya 38,368 JF members (current JF members). Sample hii imetokana na Confidence level = 99% at 3% error level. Data analysis imefanyika kwa kutumia current SPSS statistical software (for frequency statistics).
Matokeo:
Asilimia 85% (2990) ya respondents wamesema hawaitaki serikali ya JK
10% (352) wamesema bado wanaitaka serikali ya JK
5% (176) wamekuwa neutral (hawakuonyesha wako upande gani kwa opinion zao)
My take (conclusion):
Kwa wale wanaofanya social studies (kama kina Prof.Mukandara et al), we need these kinds of surveys more frequently to give a wakeup call to our lazy and corrupt leaders.
Kuna wale watakao argue kuwa study hii sio representative of the countrywide opinions (kwa maana ya sample size ndogo), lakini wajue kuwa JF members wanawakilisha maoni ya watu from all parts of the country (and abroad).
Kuhusu credibility yangu katika kufanya hili, be informed kwamba Nderi wa ngosha is a big time researcher. Nawasilisha.
Sampling na survey design:
Hii ni qualitative descriptive analysis iliyohusisha random sample iliyochaguliwa toka JF population (which is currently =38,368). Swali lililoangaliwa ni mtizamo wa maoni (opinions), yaani: pro au against the government. Control ya comfounding factors kama udini na ukabila pia imefanyika ili kuondoa bias katika final results. Survey imehusisha idadi ya watu 3518 (sample size) ambayo imechaguliwa toka kwa population ya 38,368 JF members (current JF members). Sample hii imetokana na Confidence level = 99% at 3% error level. Data analysis imefanyika kwa kutumia current SPSS statistical software (for frequency statistics).
Matokeo:
Asilimia 85% (2990) ya respondents wamesema hawaitaki serikali ya JK
10% (352) wamesema bado wanaitaka serikali ya JK
5% (176) wamekuwa neutral (hawakuonyesha wako upande gani kwa opinion zao)
My take (conclusion):
Kwa wale wanaofanya social studies (kama kina Prof.Mukandara et al), we need these kinds of surveys more frequently to give a wakeup call to our lazy and corrupt leaders.
Kuna wale watakao argue kuwa study hii sio representative of the countrywide opinions (kwa maana ya sample size ndogo), lakini wajue kuwa JF members wanawakilisha maoni ya watu from all parts of the country (and abroad).
Kuhusu credibility yangu katika kufanya hili, be informed kwamba Nderi wa ngosha is a big time researcher. Nawasilisha.