Asilimia 80 ya watumishi wa serikali ni weupe kichwani

Asilimia 80 ya watumishi wa serikali ni weupe kichwani

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
6,364
Reaction score
15,148
Ukitaka kuyagundua Haya kaa nao piga nao story yaani wengi wao ni weupe kichwani , yaani mtu hajui hata maana ya neno "hacking" wakuu

Sio Siri kitaa kinachangamsha kinamfanya mtu awe mbunifu na kufikiria kwa kiwango kikubwa. Kwanini mtu akishaingia kwenye mfumo baada ya muda fulani anakuwa bongolala?
 
Ukitaka kuyagundua Haya kaa nao piga nao story yaani wengi wao ni weupe kichwani , yaani mtu hajui hata maana ya neno "hacking" wakuu sio Siri kitaa kinachangamsha kinamfanya mtu awe mbunifu na kufikiria kwa kiwango kikubwa...kwanini mtu akishaingia kwenye mfumo baada ya muda flani anakuwa fara?
Kwahiyo watumishi wote wa serikali ni IT, hackers, Computer scientists, Computer Engineers???

Mbona naona kama wewe ndio ZWAZWA zaidi
 
Ukitaka kuyagundua Haya kaa nao piga nao story yaani wengi wao ni weupe kichwani , yaani mtu hajui hata maana ya neno "hacking" wakuu sio Siri kitaa kinachangamsha kinamfanya mtu awe mbunifu na kufikiria kwa kiwango kikubwa...kwanini mtu akishaingia kwenye mfumo baada ya muda flani anakuwa fara?
Bandiko la kibwege mno, kijana wewe ni mpuuzi.
 
Mimi kuna Laptop Fulani nilimkuta anayo Polisi tena jinsi anavyobonyeza hio Keyboard halafu naambiwa yupo kitengo cha Cyber nilichoka

Laptop Old model sana
Labda kama ukoo wako yote imezaliwa kwenye maisha bora.
Usiposhika laptop hata uisomee ukubwani, unajulikana tuu.
Keyboard kuiteka sio swala dogo. Wapo watu kibao wamesoma hadi coding ila bado.
Mimi mwenyewe naandika haraka kwenye keyboard ya simu. Ila keyboard yenyewe ni kudelete mara kwa mara.
Na sometimes mimi sina haja ya kompyuta yenye core au graphic card nzuri au ya mbele. Hivo wapo watu hadi leo wana madell latitude wakati mwenzetu unatuma apple core i 7 speed ya internet 11gb kama ile ya marekani, na hutumii za kibongo maana unasema kazi zako zinachelewa. Ila wenzako hizhizi tunaruka nazo.
Hivo jifunze, kutoweza tumia kitu flani si ujinga bali ni kutokielewa sana.
Wenzako wanafrna na wake zao wewe huwezi kwasababu hujazoea. Zoea uone. Utamtia hadi mdomoni.
 
Ukitaka kuyagundua Haya kaa nao piga nao story yaani wengi wao ni weupe kichwani , yaani mtu hajui hata maana ya neno "hacking" wakuu sio Siri kitaa kinachangamsha kinamfanya mtu awe mbunifu na kufikiria kwa kiwango kikubwa. Kwanini mtu akishaingia kwenye mfumo baada ya muda fulani anakuwa fala?
Dah!Mbona kama una chuki tu na watumishi wa umma?Umekaa nao wangapi,wa rika lipi,na wa nch/mikoa gani hao?
 
Piteni mchunguze hawa watu Wana Iq ndogo sana
Hapo mwisho kwenye thread umeonyesha utofauti wa thinking capacity kati ya mtu wa mtaani na mtumishi wa umma ni mazingira. Kwamba ukiwa kitaa unapata additional informations na kuwa tofauti na mtumishi aliye kwenye mfumo.
Na post #2 umeongelea suala la IQ.
Kwa akili zako za kitahira unadhani IQ inaweza kukuzwa katika utu uzima?
Yaani Saidi na Juma wamehitimu University of Dar es salaam mwaka mmoja na wote wana IQ sawa lakini IQ ya Saidi imepungua kutokana na utumishi wa umma na IQ ya Juma imekaa stable au kuongezeka kutokana na shughuli zake za kitaa.
Nina mashaka hujui hata maana ya IQ.
Ni wivu tu unakusumbua.
 
Back
Top Bottom