Asilimia 40 ya bidhaa nchini ni feki

Asilimia 40 ya bidhaa nchini ni feki

Mweeeeee wameenda sipo, tutavaa vipande vya kanga wasitusumbue na tekelinalotujia (Technology) yao
 
mnhh, nadhani sasa umefika wakati kila mtu popote alipo akimuona mchina KAMATA, KATA MTAMA KATA FUNUA, CHINJA, NYONGA. yeeeessss, they are killing us slowly.
kila ukikatiza utaskia chinese product fake, kila kitu cha kichina, damn chinese..
 
Hiv china hakuna serikali? Wanaruhusuje vitu kama hivi viwe exported? Chinese are irresponsible kabisa. Ingekuwa ni nchi kama Marekani watu wangewasema sana lakini kwa sababu ni wachina hakuna anayewasema.

Wachina wanatultea bidhaa kibao zinazotuua,wanauza silaha kwa waasi, wanaiba rasilimali zetu kama kule Congo DRC na hata Tz lakini kila siku hatuachi kuwasifu kuwa wao ndiyo wazuri.

Wajameni hawa wachina inatakiwa kuwasusia siku moja maana wanatuangamiza.
 
jamani tusiwalaumu sana wachina kwani si wahao wanaotupa vitu feki bali ni wafanyabiashara wetu,ndg zetu hawa wanaokwenda china wenye tamaa ya utajiri wa haraka nimewai kuwachina marakadhaa jamani mpaka wachina wanatushangaa grade hii ya nguo mnavaaje uko kwenu lakini mfanyabiashara anatoa oda kontena 2 hadi 4 mchina akatai kabisa anachofanya nikutengeza mchongo kwao namna ya kusafirisha kitu cha kiwango cha chini hivyo.

nimewahi kushuhudia wanaigeria wanapaki moveti feki yani wanachofanya wanachanganya makemikali kupata sample ya kufanana na moveti wanapaki kama ya ukweli na kolgate wanaweka flever kama ya colgate wanapaki wanaingizia boda ya tanga

yani kifupi mchina ana tatizo yy anajali maelewano yenu wawili kama fundi mjenzi mfuko mmoja wa cement unatakiwa utoe tofali 35 lakini ww unamwambia unataka atoe tofali 70 au 100 kwa mfuko mchina akatai ebu tulifikirie kwa upana zaidi kwani wachina wanazibuliwa masikio na wafanyabiashara wenyewe
 
Hiv china hakuna serikali? Wanaruhusuje vitu kama hivi viwe exported? Chinese are irresponsible kabisa. Ingekuwa ni nchi kama Marekani watu wangewasema sana lakini kwa sababu ni wachina hakuna anayewasema.

Wachina wanatultea bidhaa kibao zinazotuua,wanauza silaha kwa waasi, wanaiba rasilimali zetu kama kule Congo DRC na hata Tz lakini kila siku hatuachi kuwasifu kuwa wao ndiyo wazuri.

Wajameni hawa wachina inatakiwa kuwasusia siku moja maana wanatuangamiza.


Na sisi watanzania hatuna serekali???? vitu vyote vinapitia pale bandari ya dar au tanga kuna Usalama wa taifa, TRA, Mamlaka ya chakula na dawa, TBS,polisi nk kwani wao hawazioni hizo bidhaa zinapopita??

Vyombo vyoote hivyo vya dola ni butuuuu???????
 
DK magufuli leo aliamua kuitokea kampuni moja inayofanykazi ya kuhifadhi samaki;pale alipokuta vibua vinaagizwa toka yemen na japa ambavyo hutumika kwao kama chambo ya kuwapata"TUNA"
Baada ya kullamika kwa nini wanawalisha chambo watanzania samaki walioshindikana huko kwao walikiri na kuomba samahani na kuahidi tani 2250 waliyoagiza aitakuja tena,...
wakti huo huo alifumania kampuni moja inayofanya kazi ya kutengeneza nyavu haramu;hilo nalo amewaaapia ata deal nao sambamba;

kazi unayo baba;mwaka wako

Mungu yuko nyuma yako
Wahaya wanaweza kazi, huyu ni mmoja kati ya maelfu ya wahaya wanaoweza kuleta maendeleo, lakini sirikali inawabania. tumuombe agombee urais kupitia CCJ
 
Nasikia hata Machangudoa wapo ambao ni fake! Chinese style
 
Unaweza kuta kila ulichivaa mwilini mwako ni feki yaani hii tabia ni mbaya hasa kwenye vyakula.

Imagine Arusha wamekuta pedi feki sasa si watatuaribia dada na mama zetu.

Mbaya zaidi ata wewe unae uza nduguzo wataathilika tuu.

Muogopeni Mungu.

TBS TRA NA TFDA acheni usanii watu wanaangamia pls
 
Daaah hata hio komputer uliotumia kuandikia huo ujumbe inawezekana nayo ni feki...! Ha ha ha ha...! Watanzania tunapenda vya rahisi, but modern, so the best way ni kupata vilivyo feki lakini tuonekane tunavyo...! By the way ukiuliza ni watu wangapi walio na genuine Window OS or Genuine Office software au ni wangapi wanenda dukani kununua albam ya wanamuziki, utapata jibu, wengi wana pirated softwares and the like, no one dares to buy genuine things because of its prices but as well because we want quality things at a cheaper price so this answers your questions as to why our market is flooded with fake goods
Naona umejikita kwwnye vifaa vya umeme na apps zake, janga liko kwenye vyakula na madawa mhm si mchezo
 
Hata hiyo 40 ni understated. Almost 'all' drugs, electronic goods, used cars (wanaonunua brand news ni wachache sana), foodstuffs, textile materials ni vya kugushi.
Ukweli mtupu. Mbaya zaidi taasisi husiKa kushugulikia tatizo hili ikiwemo TBS wameshidwa kudhibiti wimbi la bidhaa feki.
 
Hiyo asilimia ni ndogo sana ukicompare na reality....... At least ungesema 80% ingekuwa accurate....
 
yeah and its not a must to agree with it.what is fake btw?do we have anything fake in the world of our ordinary experience or even outside of it?
Duh! Hii English yako noma!😃
 
Nimejaribu sana kulinganisha hizi kondoms za roughrider, si kama zilizokuwepo miaka ya nyuma. Hizi za siku hizi kwanza kuzifungua toka kwenye kimfuko chake ni hadi utumie meno au kijiwembe, hazifunguki kirahisi. Pili zinaonekana kama zimebana na kwa kweli hazihimili vishindo kama zile za miaka takriban mitano iliyopita. Hapa nabaki najiuliza kulikoni, wajanja wameamua kujitajirisha kwa kufanya ufisadi wa kutengeneza kondoms feki kwa gharama ya maisha ya watanzania.

Kitu kingine nilicho na wasiwasi nacho ni haya maziwa ya Nido yaliyo na label ya Africa Kusini. Haya nayo siamini kama ni maziwa yanayostahili kutumiwa na watanzania wa leo. Ni kwamba ukiyatia kwenye maji ya moto yanatengeneza vijibonge vidogovidogo, hayayeyuki vizuri. Hata ladha yake inatia shaka. Hapa napo naona wahuni wa kibiashara wameshaingilia soko wanatutengenezea bidhaa feki. TBS mko wapi? Nyie ndiyo tegemeo la afya na maisha yetu pambaneni na hawa wahuni wasiojali maisha ya watu.
Ni kweli ladha ya NIDO imebadilika. Halafu types nyingine expiry dates zinatisha. Tuweni makini.
 
Back
Top Bottom