Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,131
Wakuu mi ninadhani plausible explanation ni kwamba kama wanasayansi wengi wanakubali AIDS ilitokana na (SIV) ambayo ilikuwa/inapatikana kwenye nyani...
Na jinsi ya transmission labda mtu aliumwa na nyani au wakati anamchinja nyani labda fluids za nyani zilimuingilia huyo mtu (wote tunajua watu wa Central Africa wanakula nyani)
Baada ya hapo labda hiyo SIV ikabadilika mpaka HIV....
Msishangae hapo labda ni nyingi sababu hii ni theory moja tu kati ya nyingine nyingi lakini hii inakubalika zaidi ya ile HIV ilitengenezwa ili kuwauwa watu wa aina fulani (gays n.k.) Hii kwa kweli mimi sikubaliani nayo kabisa
@ Bold and red,
Dhana ya kutengenezwa HIV ..Hata mimi haingii akili kabisa!
Lakini kuna porofesa mmoja anaamini (Peter D ..Post namba 9) ... kulikuwa na makosa ya Kugundua kinachosababisha AIDS... Kwa makosa hayo ... Ya kitaalam kabisa yaliyofanyika kwenye maabara ... HIV.. Ikabebeshwa mzigo wote wa kuwa Chanzo Cha AIDS ..lakini yeye anafikiri sio hivyo...! Anaamini kuwa lazmima kuwe na Hali nyingine zinazotangulia ili Kufanya HIV kuanza kuwa na madhara(Kama ulivyosema wewe.. ku-mutate) ..ndio maana yeye anapinga ARV peke yake ila anasisitiza KUTIBU hayo mazingira mengine kwanza. Kwa Mtizamo huo yeye anaona kuwa HIV imetengenezwa kwa makosa ya KIMTIZAMO kati ya makundi mawaili ya wataalam ndani ya Maabara!!