Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,452
Hapo Zamani wakati Wagerumani(German East Africa) Walipokuja TANGANYIKA ambayo sasa ni Nchi ya Tanzania Walifanya Biashara Kutumia Sarafu ya HELLER
-1904 Sarafu ya Shaba yaani Bronze Hela 1/2 na Hela 1 ilitengenezwa.
-1908 Hela 5 ya Shaba na Hela iliyo na Tundu Katikati ya madini ya Cupro-Nickel Hela 10 pia iliundwa.
-1913 Hela 5 ya Cupro-Nickel iliyo ya Tundu Katikati pia iliundwa.
-1916 Wakati wa Vita vya Dunia ya Kwanza ya Dharura Sarafu ya Hela zilitengenezwa katika Wilaya ya TABORA
Hivyo Basi 302,940 Hela 5 ya Shaba ziliundwa
325,000 Hela 20 ya Copper na Shaba pia Ziliundwa.
Wakati huo katika kubadili Hela
1 Rupie au Indian Rupee=100 Hela
Mpaka wa leo Watanzania Sarafu zao zinajulikana kama Hela.
Credit: mdau FB
-1904 Sarafu ya Shaba yaani Bronze Hela 1/2 na Hela 1 ilitengenezwa.
-1908 Hela 5 ya Shaba na Hela iliyo na Tundu Katikati ya madini ya Cupro-Nickel Hela 10 pia iliundwa.
-1913 Hela 5 ya Cupro-Nickel iliyo ya Tundu Katikati pia iliundwa.
-1916 Wakati wa Vita vya Dunia ya Kwanza ya Dharura Sarafu ya Hela zilitengenezwa katika Wilaya ya TABORA
Hivyo Basi 302,940 Hela 5 ya Shaba ziliundwa
325,000 Hela 20 ya Copper na Shaba pia Ziliundwa.
Wakati huo katika kubadili Hela
1 Rupie au Indian Rupee=100 Hela
Mpaka wa leo Watanzania Sarafu zao zinajulikana kama Hela.
Credit: mdau FB