Mkuu kufa ni tukio la dhambi,mpango wa Mungu ilikuwa tuishi milele.Halafu ni vema watu wakajua kwamba Mungu ametupa free will,He does not force anybody to abide by his rules,hata hivyo kuna serious consequences,hapa hapa duniani na at eternity.Unajua,mema yamejulikana kwa kuwa kuna mabaya!Without evil,there is no sense of good.Biblia inasema tuliumbwa ili tutende mema,so evil is foreign to us. Finally kufukuzwa ilikuwa sawa,kwa kuwa the Adams wamevunja amri ya Mungu,na penalty ya Mungu kwa kuvunja amri ile ilikuwa kufa.Mungu habadiliki,akisha ahidi kitu lazima kitokee,so they had to die.
Mwanzo 3:22 Bwana Mungu akasema,Basi,huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima,akala, akaishi milele;
Kumbe shetani akuongea uongo aliposema kuwa watakuwa kama Mungu?
Na ni kweli pia wasinge kufa kama wangeundea na ule mti wa uzima mapema?
Kumbe dhambi kwa mwanadamu nikuchagua kuwa kama Mungu wake/kukataa kutawaliwa bila utashi wake, kwangu hapa sioni hatia yeyote zaidi ya uonevu.
Mwanzo 6:2-8 (nashauri ukasome)
Mwanzo 2 Wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wowote waliowachagua. (Wana wa Mungu wakashawishika/wakatenda dhambi)
Lakini hatia akawa nayo mwanadamu sijuhi kwa kuwa kazaa binti wazuri...ebu tuendelee Mwanzo 5 Bwana akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo(Bwana akajuta nakujihisi kukosea/hatia(dhambi) kwa uumbaji wake)
Mwanzo 3: Bwana akasema, Roho yangu haitoshindana na mwanadamu milele..." kumbe Mungu mwenyewe alimuhukumu kiumbe chake kwa hofu yakumuofia mwanadamu kuwa kama yeye, tazama matokeo yake...
"kwa kuwa nae ni nyama;basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini. kauli hii inatia mashaka kuwa Mungu pia ana mwili wa nyama kama binadamu.
Zingatio lingine hapa ni kuwa Mungu na viumbe wake wote kasoro binadamu wana vyote ndani yao yaani ujuzi wa mema na mabaya pamoja na uzima wa milele, hivyo wanayaishi yote na kwao si hatia wakitenda dhambi au wema na wanahaki yakuishi milele,
ndio maana wana wa Mungu walipokosea aliyehukumiwa ni binadamu kwa kupunguziwa umri wa kuishi plus kufutilia kizazi chote kwa gharika pasipo Bwana(baba) mwenyewe kuwajibika kwa kosa lake la kuwaacha wanawe watende dhambi.