Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,677
- Thread starter
- #21
Southern Highland nakujibu kwamba sihalalishi dhambi bali dhambi tiyari ilishaalalishwa na dunia tuiishi kabla hata sijazaliwa, naona umeigusia serikali ambayo ipo kwa kuwa dhambi ipo
mfano dhambi haipo na watu hawavunji sheria unahisi muhimili wa mahakama(legislature) utakuwepo? Na vipi kuhusu kila mtu akiwa mnyoofu na tamaa(dhambi) haipo juu ya umiliki wa vitu wala mamlaka kuna haja ya kuwa na serikali au dini?
Vipi kuhusu biashara bila kumwongezea cha juu mteja(uhesabiwa kama dhambi kuchukua zaidi ya halali yako na kumpamba akuchangie hata kama bidhaa unayompa si bora unavyoinadi na hata baadhi ya imani zinataka mabenki yasitoze riba,watu wasinywe pombe au kumiliki bar n.k) unahisi faida ingepatikana vipi?
mfano dhambi haipo na watu hawavunji sheria unahisi muhimili wa mahakama(legislature) utakuwepo? Na vipi kuhusu kila mtu akiwa mnyoofu na tamaa(dhambi) haipo juu ya umiliki wa vitu wala mamlaka kuna haja ya kuwa na serikali au dini?
Vipi kuhusu biashara bila kumwongezea cha juu mteja(uhesabiwa kama dhambi kuchukua zaidi ya halali yako na kumpamba akuchangie hata kama bidhaa unayompa si bora unavyoinadi na hata baadhi ya imani zinataka mabenki yasitoze riba,watu wasinywe pombe au kumiliki bar n.k) unahisi faida ingepatikana vipi?