Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,675
'Kufa kufaana' tupo duniani 'kuchumia tumbo' na hakuna dhambi nikitenda dhambi kwa sababu ipo hili niitende niishi, Niende moja kwa moja kwenye hoja:-
Lengo la kutengeneza silaha nikuua watu, nia nikupata pesa unapoziuza, hapo unazalisha ajira na mapato ya serikali ambayo baadaye yanakwenda kulipa wafanyakazi ambao baadaye watakwenda kununua bidhaa nakuwachangia wafanyabiashara nakutoa sadaka kanisani ambazo baadaye uboresha miundombinu na maisha ya watumishi wa kanisa kuendelea kukemea uovu.
Magonjwa yanapotengenezwa kupitia vyakula,madawa,mitindo ya kimaisha, maabara na baadaye kuenezwa kimakusudi kwa kujua, je wanaofanya hivyo huwa wanakuwa wamekosea au wako sawa?
Achana na kifungo cha utu na huruma(ubinadamu) ebu fikiria kwa umakini, mfano Ukimwi, Kansa, kisukari na magonjwa mengine yanayotesa wanadamu leo hii yapate dawa nakutokomezwa kabisa, je wahisi ni faida kwa dunia au hasara?
Je, ni ajira ngapi zitapotea, biashara za madawa itakuwaje, vipi mapato, wangapi watapoteza taaluma zao,n.k
Je, ikiwa watu wataachwa waongezeke pasipo kuuliwa/kupunguzwa kwa njia mbalimbali wahisi dunia itakuwa mahala salama pa kuishi ukizingatia rasilimali tuliyonayo(scarcity) na uwiano wa matumizi/uhitaji wake, je itabaki kwenye balance nzuri?
Kumbe shida yako ndo kuponea kwangu bila wewe kupata shida mi nikaja kukutatulia/kuneemeka na kutokuwepo kwako hatujaishi bado, hivyo nikikupa nabarikiwa ila nikikukwapulia unanilaani(dhambi) nikiwapelekea familia ile riziki niliyokwapua wakala wasife njaa(baraka) hivyo bila kutenda dhambi maisha duniani yasingewezekana
Kwa maana kupitia dhambi jema huja kusawazisha ubaya baadaye dhambi uchukua nafasi yake kumaintain equilibrium na ni endless process hivyo nathibitisha kwamba dhambi siyo hatia bali ipo hili tuiishi.
Lengo la kutengeneza silaha nikuua watu, nia nikupata pesa unapoziuza, hapo unazalisha ajira na mapato ya serikali ambayo baadaye yanakwenda kulipa wafanyakazi ambao baadaye watakwenda kununua bidhaa nakuwachangia wafanyabiashara nakutoa sadaka kanisani ambazo baadaye uboresha miundombinu na maisha ya watumishi wa kanisa kuendelea kukemea uovu.
Magonjwa yanapotengenezwa kupitia vyakula,madawa,mitindo ya kimaisha, maabara na baadaye kuenezwa kimakusudi kwa kujua, je wanaofanya hivyo huwa wanakuwa wamekosea au wako sawa?
Achana na kifungo cha utu na huruma(ubinadamu) ebu fikiria kwa umakini, mfano Ukimwi, Kansa, kisukari na magonjwa mengine yanayotesa wanadamu leo hii yapate dawa nakutokomezwa kabisa, je wahisi ni faida kwa dunia au hasara?
Je, ni ajira ngapi zitapotea, biashara za madawa itakuwaje, vipi mapato, wangapi watapoteza taaluma zao,n.k
Je, ikiwa watu wataachwa waongezeke pasipo kuuliwa/kupunguzwa kwa njia mbalimbali wahisi dunia itakuwa mahala salama pa kuishi ukizingatia rasilimali tuliyonayo(scarcity) na uwiano wa matumizi/uhitaji wake, je itabaki kwenye balance nzuri?
Kumbe shida yako ndo kuponea kwangu bila wewe kupata shida mi nikaja kukutatulia/kuneemeka na kutokuwepo kwako hatujaishi bado, hivyo nikikupa nabarikiwa ila nikikukwapulia unanilaani(dhambi) nikiwapelekea familia ile riziki niliyokwapua wakala wasife njaa(baraka) hivyo bila kutenda dhambi maisha duniani yasingewezekana
Kwa maana kupitia dhambi jema huja kusawazisha ubaya baadaye dhambi uchukua nafasi yake kumaintain equilibrium na ni endless process hivyo nathibitisha kwamba dhambi siyo hatia bali ipo hili tuiishi.