King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,835
- 5,347
What you think what comes...Imani tu....niliendaga sehemu nikakuta wana michachai mingi.Nikaomba kiasi nikapande kwangu.Wakaniambia kachume ila kama upo mwezini tukuchumie maana ukipanda hayataota yatakufa (Wamama wa Kizaramo) ....nikawaambia hapana (nilidanganya)
Nilirudi home nikapanda saivi umestawi balaa.
Hayo mengine naona kama ni imani tena yana laana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani yako ndo itakayo kuponya..
Our life do shapes with our thoughts..