gilberto de rico
Senior Member
- Feb 7, 2019
- 165
- 120
mh
Wengine eti kuchuma mboga au maua kwa shamba kama uko mwezin eti majani yanakauka! Ujinga huu
.😅😅naona ndo fav yako😉Neno ‘kuchuma mboga’ ndo limenileta hapa.
.naona ndo fav yako
Unapicha ya mende hapo boss😉😉!
Unapicha ya mende hapo boss!
Ndio mana kwenye bibilia mwanamke alipokuwa kwenye hiyo hali alikuwa kama anajitenga fulani hivi mpaka amalize.Sio hvyo tu aingie kwenye shamba la matikiti maji akiwa yupo kwenye hedhi aone, matikiti yote yakikomaa yanapasuka yenyewe
Ukichunguza Kuna siri ndani yake na si ujinga labda anaweza jishika akashika mboga mkala uchafu sijui zamani walikuwa wanajikingaje labda akiinama mambo yakaharibika .. kila taboo ni kwa ajili ya kuprotect kitu fulaniWengine eti kuchuma mboga au maua kwa shamba kama uko mwezin eti majani yanakauka! Ujinga huu
Ukichunguza Kuna siri ndani yake na si ujinga labda anaweza jishika akashika mboga mkala uchafu sijui zamani walikuwa wanajikingaje labda akiinama mambo yakaharibika .. kila taboo ni kwa ajili ya kuprotect kitu fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtalam bingwa unesema ivo ??Mmh serious speaking haya ni mapya kwangu
Jr
ujinga ni nzigo.Wanasema pia ukimuona Zeru zeru wanakwambia utemee Mate kifuani kwako au siyo na wewe utazaa Zeru zeru
Kuna jirani yangu ana project ya uyoga..so naingiaga najichumia anapima..akaniambia madame kama uko mp usichume na kwel nilikua mp ..nikamwambia hebu leo tujaribu nilichuma kila kona za ukuta alopanda uyoga...baad ya week akanuambia mbona unachanua...akaja naye kwangu akachuma tembele akiwa mp..halijakauka ...tukabak kucheka tu na imani zenu haba...! Wanakuja watu nawachumia maua nikiwa hivo mbona hayakauki😆😆😆😆! Haya mambo ni imani...mie kitu nachoamini kwenye imani ni LAANA! Basi!
yes mie mama
Ukipita karibu na ng'ombe inakuwaje?Hili la majani wala usije ukakosea ndugu, ila kama unataka uthibitisho, nenda kachume Majani ya Maboga, Matembele au Pilipili, utaleta ushahidi mwenyewe.
Au, ukiwa hivyo, pita karibu na ng'ombe utaleta mrejesho mwenyewe.
Wewe Tena mshana siaminiMmh serious speaking haya ni mapya kwangu
Jr
watu kwa ubishi hamjambo, hayo mambo yapo hasa hilo la kwanza na ni kweli kabisa hata ukiwa mwezini ukichuma mboga hukauka kama huamini bas sio lazima lakini hivi vitu vpo