Kulikuwana jamaa mmoja aliekuwa anadai pesa yake, siku moja alinishangaza sana, MDAIWA-nivumilie leo tu kesho mimi nitakukulipa deni langu lote, CHAKUSHANGAZA, Mdai ashakumu simatusi, unagongwa sana? ninakupa msaa mawili kabla sija kuitia polisi.
JE WEWE UNGEKUWA MDAIWA UNGEFANYAJE?
JE WEWE UNGEKUWA MDAIWA UNGEFANYAJE?