Pedeshee Makala karibu FM ACADEMIA, leo tupo Tegeta kwa NdevuHalmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa imemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ambaye ni Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho.
huyo Mchimbi anagombea kwenye uchaguzi gani/upiHalmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa imemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ambaye ni Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho.
Bado na shemeji yake Hawa Ghasia atalamba uteuzi punde si pundeKikwete m.senge ****. lammake anaweka safi yake. Watanzania fungueni mabichwa hayo
unaibu Katibu mkuu alifukuzwa UNAliwahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Asha-Rose Mtengeti Migiro amethibitishwa na CCM kuwa Katibu MKuu wa CCM akichukua nafasi ya Dkt Emmanuel Nchimbi ambeye aliteuliwa kuwa mgombea mwenza wa rais Samia nafasi ya urais 2025
Pia CCM imelithibitisha jina la Kenani Kihongosi ambaye ni mkuu wa Mkoa wa Arusha kuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo akichukua nafasi ya Amos Makalla
80 hajafikisha, lakini kishavuka umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria.Hajafikisha miaka 80 kweli huyu mama
Yote kwa yote abalikiwe sana
Namtakia majukumu mema
Yaani watu wanamtandao hata waliokufa kisiasa wanafufuliwa. Bado Membe kulamba cheoNi mwendo wa wanamtandao kulamba asali
K. Mamake mara 2Bado na shemeji yake Hawa Ghasia atalamba uteuzi punde si punde
hapana hajafikisha 80Hajafikisha miaka 80 kweli huyu mama
Yote kwa yote abalikiwe sana
Namtakia majukumu mema