Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.
Na Salma Kikwete naye kasema hivyo hivyo. Naona kampeni zimeshaanza.Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.
Na Salma Kikwete naye kasema hivyo hivyo. Naona kampeni zimeshaanza.
Hatuna muda wa kumpa urais mwislamu tena. Hawa marais waislamu ndiyo wanaotuletea ugumu wa maisha.
HIVI VIATU VYA MKUU NDIO VILE ALIVYOLETEWA NA WAARABU WA KEMPINSKI AU??MAANA VIMEPINDA KIAINA.MKUU UZA NA ILE NYUMBA PALE KIGAMBONI WAKULETEE VIATU VINGINE ha;;
View attachment 39714
Hapa mkulu apiga kama viatu vyangu vya mchina. Wachina Woooye, endeleeni kutuletea bidhaa cheap cheap!
UNITED NATIONS, August 9 -- With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble [/FONT]explaining what they are doing. Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16. Yet despite two requests from Inner City Press for an explanation of this "official" travel, not a single official UN act has been described. Nor does Ban's spokesperson's office, when asked, seem to know what Ban is doing in his native South Korea. On August 9, Inner City Press asked Ban's acting deputy spokesman Farhan Haq about one of Ban's actions while away:
Jamani, jambo tunalojadili sio sisi tu, hata magazeti ya Marekani yameripoti jambo hilo kama inavyoonekana kwenye nukuru hapo juu
Yaani watu msipomtaja Slaa roho zenu hazitulii? mwe!Kuna ubaya gani kufanya kampeni mbona slaa ameanza zamani tu..
1. Jamani UN tunalikizo nyingi sana kutegemea na aina ya kazi yako. Kwa mfano mimi binafsi napata likizo kila baada ya wiki 6 na kwa maana hiyo nikiamua kuja nyumbani nitakuja si chini ya mara 7 kwa mwaka. Sasa huenda mama yeye kutokana na majukumu yake mazito akawa na likizo nyingi zaidi. Un inaamini mapumziko mzfupi ya kila baada ya muda fulani ili mtu aweze kuwa more effective kwa kupunguza msongo wa maisha na zaidi likizo za UN huruhusiwi kuchukua likizo na kukaa kwenye nchi unayofanyia kazi.
2. Chondechonde naona watu huko nyumbani mnaendekeza sana suala la UDINI, why? Tuulizeni sisi tunaofanyakazi hizi na UN na kupata bahati ya kuzunguka Dunia hii. Dini na Ukabila ni vya kuviogopa kabisa kama UKOMA, mataifa mengi yameingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya Dini na Ukabila. Naomba ndugu zangu tujaribu kuepuka hili. Sidhani kama kuna tatizo lolote kama viongozi watatoka kabila moja au dini moja kama watukuwa na sifa hizo. Nyerere alisemz "tuchague au tusichague mtu kwa ajili ya kabila au dini yake".
1. Jamani UN tunalikizo nyingi sana kutegemea na aina ya kazi yako. Kwa mfano mimi binafsi napata likizo kila baada ya wiki 6 na kwa maana hiyo nikiamua kuja nyumbani nitakuja si chini ya mara 7 kwa mwaka. Sasa huenda mama yeye kutokana na majukumu yake mazito akawa na likizo nyingi zaidi. Un inaamini mapumziko mzfupi ya kila baada ya muda fulani ili mtu aweze kuwa more effective kwa kupunguza msongo wa maisha na zaidi likizo za UN huruhusiwi kuchukua likizo na kukaa kwenye nchi unayofanyia kazi.
2. Chondechonde naona watu huko nyumbani mnaendekeza sana suala la UDINI, why? Tuulizeni sisi tunaofanyakazi hizi na UN na kupata bahati ya kuzunguka Dunia hii. Dini na Ukabila ni vya kuviogopa kabisa kama UKOMA, mataifa mengi yameingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya Dini na Ukabila. Naomba ndugu zangu tujaribu kuepuka hili. Sidhani kama kuna tatizo lolote kama viongozi watatoka kabila moja au dini moja kama watukuwa na sifa hizo. Nyerere alisemz "tuchague au tusichague mtu kwa ajili ya kabila au dini yake".
Pamoja na utetezi wako hii ni kashfa, na watakapofikia kipindi cha kutaka kuendelea kihunzi hiki kinaweza wakwamisha. Hayo ndiyo tunayoyaona hata kwa Mkulu wetu.With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble explaining what they are doing. Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16.
Nashangaa kumwona Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Asha Migiro akiwa Tanzania na kutembelea Ikulu, sijajua kazi yake inamruhuku kurudi likizo kila mwezi Tanzania au Umoja wa mataifa una vipa umbele vya pekee kumtuma Naibu Katibu Mkuu wake kuja Tanzania? Au anaandaliwa kwa jambo jingine muhimu siku za usoni hapa nchini? Wiki alikuwepo Tanzania na kuonana na Mkulu kama picha inavyoonyesha.
Tusome source hii tuliyoletewa na mdau
Bofya hapa: Inner City Press: Investigative Reporting from the United Nations
[FONT='Times New Roman', serif]
UNITED NATIONS, August 9 -- With the UN's two top officials both out of New York, their spokespeople are having trouble [/FONT]explaining what they are doing. Secretary General Ban Ki-moon is in South Korea, while Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro is listed on "official travel" from July 18 to August 16. Yet despite two requests from Inner City Press for an explanation of this "official" travel, not a single official UN act has been described. Nor does Ban's spokesperson's office, when asked, seem to know what Ban is doing in his native South Korea. On August 9, Inner City Press asked Ban's acting deputy spokesman Farhan Haq about one of Ban's actions while away: