Mbona kama alikuwa amelewa!Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
😁😁😁😁Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
Mbona kama alikuwa amelewa!
Sio kwamba p o m b e zinamsumbua?Amesema hiyo ni sehemu ya vijana wa ccm, anamaanisha hiyo sehemu ni kwa ajili ya wanaccm tuu, kama ni hvy basi yupo sahihi na hakuna baya aliloongea kwa Chadema mana ni sawa na kuuza katiba ya Chadema kwenye ofisi za ccm hiyo kitu hakiwezekani
kabisa
CCM kuna chawa na chadema pia wana chawaMmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.chawa wa ccmView attachment 2880803
Total failureMmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
Bia hizo balimiHata sauti yake inajieleza