Asee hii hantavirus baada ya wiki itapita na wengi

Asee hii hantavirus baada ya wiki itapita na wengi

Huu ugonjwa mpya wa virusi vya panya Hanta Virus baada ya wiki itaondoka na wengi.

Abiria wa KLM inasemekana wengi wanayo na KLM kila siku inatua Kilimanjaro na Dar.

Asee tumekwisha. Niko zangu hapa Ghetto natetemeka balaa isingekuwa msaada wa sigara na ba sijui ingekuwaje yani napanic balaa.

Ishafika bongo na Afrika nauhakika sema nigger ni mbishi ana immune ya kibishi ndio maana we are able to survive in any harsh conditions.

Mungu tusaidie.

KIONGOZI ACHA KUTUABISHA...
UNACHO SEMA NI SAWA NA KUWAAMBIA WATU KUWA, BASI FLANI KUTOKA DODOMA KUJA DAR LENYEWE LINABEBA WAGONJWA WA MALARIA.
KIMSINGI ndege ya KLM ILIWAHI KUBEBA ABIRIA MMOJA MWEZI WA NNE, AKAGUNDULIKA KUWA NA HIVYO VIRUSI; NA WATU WALIO MUHUDUMIA HADI SASA WAPO SALAMA JAPO WANAFUATILIWA....
NI VIZURI KUCHUKUA TAHADHARI LAKINI EPUKA KUTOA HABARI ZA KUPOTOSHA....
 
Hauna tiba wala chanjo. Flight attendant wa KLM kakutwa nayo na abiria wawili wa KLM wamethibitishwa wanayo. Inasemekana hadi huko Spain.

Cape Verde walikataa hiyo meli isitie nanga. Sasa hivi inaelekea Spain kisiwa cha Tanarife wananchi wamepanic wanaiomba serikal7 isiruhusu hiyo meli.

Covid ilianzaga hivihivi. Afadhali covid hii hantavirus ni kuharisha na kukohoa
Kabla ya kutuuzia hofu unajua huu ugonjwa unaenezwa vipi!?
 
Huu ugonjwa mpya wa virusi vya panya Hanta Virus baada ya wiki itaondoka na wengi.

Abiria wa KLM inasemekana wengi wanayo na KLM kila siku inatua Kilimanjaro na Dar.

Asee tumekwisha. Niko zangu hapa Ghetto natetemeka balaa isingekuwa msaada wa sigara na ba sijui ingekuwaje yani napanic balaa.

Ishafika bongo na Afrika nauhakika sema nigger ni mbishi ana immune ya kibishi ndio maana we are able to survive in any harsh conditions.

Mungu tusaidie.
AI anasemaje?

Hantavirus ni kundi la virusi ambavyo huenezwa zaidi na panya. Binadamu hupata maambukizi haya kupitia kugusa au kuvuta hewa yenye vumbi lililochafuliwa na mkojo, kinyesi, au mate ya panya aliyeambukizwa.

Madhara ya virusi hivi ni makubwa na yanaweza kugawanywa katika makundi makuu mawili kulingana na sehemu ya mwili inayoshambuliwa:

1. Hantavirus Pulmonary Syndrome (HPS)​

Hii ni hali inayoshambulia mfumo wa upumuaji (mapafu). Ni hatari sana na inaweza kusababisha kifo kwa haraka (kiwango cha vifo ni karibu 38%).

  • Dalili za Awali: Homa, maumivu ya misuli (hasa mapajani, mgongoni, na mabegani), uchovu, na kizunguzungu.
  • Baada ya siku 4 mpaka 10: Mapafu huanza kujaa maji, jambo linalosababisha:
    • Kushindwa kupumua vizuri.
    • Kikohozi kikali.
    • Moyo kushindwa kufanya kazi vizuri kwa sababu ya ukosefu wa oksijeni.

2. Hemorrhagic Fever with Renal Syndrome (HFRS)​

Hali hii hushambulia zaidi figo na kusababisha uvujaji wa damu ndani ya mwili. Huonekana zaidi katika nchi za Ulaya na Asia.

  • Maumivu Makali: Maumivu ya kichwa, mgongo, na tumbo.
  • Matatizo ya Macho: Macho kuwa mekundu na kutoona vizuri.
  • Kuvuja Damu: Kutokea kwa madoa mekundu kwenye ngozi au kuvuja damu ndani ya viungo.
  • Kufeli kwa Figo: Hii ndiyo athari kuu, ambapo figo hushindwa kuchuja uchafu, jambo linaloweza kuhitaji usafishaji wa damu (dialysis) au kusababisha kifo.

Madhara ya Muda Mrefu​

Watu wanaopona maambukizi makali ya Hantavirus wanaweza kukumbana na changamoto za kudumu kama:

  • Uchovu wa kudumu: Mwili kuchoka haraka hata baada ya kupona.
  • Kupungua kwa uwezo wa mapafu: Ugumu wa kupumua wakati wa kufanya kazi nzito.
  • Shinikizo la damu: Hasa kwa wale walioathirika figo.

Jinsi ya Kujikinga​

Kidokezo muhimu: Njia bora ya kuepuka Hantavirus ni kudhibiti panya ndani na karibu na makazi yako.
  1. Ziba matundu: Hakikisha panya hawaingii ndani ya nyumba.
  2. Usafi wa Mazingira: Usiache mabaki ya chakula wazi.
  3. Tahadhari unaposafisha: Unaposafisha maeneo yenye kinyesi cha panya, usifagie kwa ufagio mkavu (vumbi linaweza kurusha virusi hewani). Tumia dawa ya kuua vijidudu (disinfectant) kulowesha eneo hilo kwanza kabla ya kufuta.
 
Huu ugonjwa mpya wa virusi vya panya Hanta Virus baada ya wiki itaondoka na wengi.

Abiria wa KLM inasemekana wengi wanayo na KLM kila siku inatua Kilimanjaro na Dar.

Asee tumekwisha. Niko zangu hapa Ghetto natetemeka balaa isingekuwa msaada wa sigara na ba sijui ingekuwaje yani napanic balaa.

Ishafika bongo na Afrika nauhakika sema nigger ni mbishi ana immune ya kibishi ndio maana we are able to survive in any harsh conditions.

Mungu tusaidie.
Hiyo virus kuna mtu kule x alitabiri 2026 itakuja. Nadhan haipo really ila jisni ambavo mama yenu anapelekewa moto na washua nchi ya mbeleni huko. Walah lockdown ipo karibu
 
Back
Top Bottom